Recent content by Mugabe wa Bongo

  1. Mugabe wa Bongo

    Madereva Tax wa Airport Dodoma wanazuia Bolt kubeba abiria airport hapo

    Madereva wa Tax wanaofanyia kazi Airport ya Dodoma wameanzisha fitna ya kuwazuia madereva wanaofanya Bolt kuingia kubeba abiria kwenye uwanja huo wa ndege. Wanafanya fitina wao lakini pia wanashirikiana na baadhi ya watu wa TRA ambapo bolt akiingia wanamkamata na kuamuru kwenda ofisini kukagua...
  2. Mugabe wa Bongo

    NSSF hawalipi mafao yako kama hujafukuzwa kazi, hata kama mkataba umeisha

    Wakuu kuna kitu kimenishangaza sana kuhusu NSSF, ni kwamba kama wewe ni mfanyakazi na mkataba wa kazi umeisha sehemu ulipokuwa unafanyia kazi, ukaona mazingira ya kazi si mazuri, ukaamua kutosaini mkataba mwingine, hapo inakuwa imekula upande wako, ukienda NSSF hawakulipi hata senti yako...
  3. Mugabe wa Bongo

    Kondomu zimeadimika sana, tatito nini?

    Kiukweli mzigo umeadimika sana mtaani, watu wanatumia mafuta sasa, ni hatariiii kubwa, sijajua sababu za kuadimika ni zipi
  4. Mugabe wa Bongo

    CCM yawavua Uanachama watu 29

    Hiyo taarifa imetoka lini
  5. Mugabe wa Bongo

    Marekani yasitisha rasmi Ufadhili wake wa MCC kwa Tanzania

    No kwa sababu IPO siku watataka kututia dole la kati sasaaa...maana Washatuona mabwege hatuwez kuishi bila wao Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
  6. Mugabe wa Bongo

    Marekani yasitisha rasmi Ufadhili wake wa MCC kwa Tanzania

    Acha Ujuha wewe.....Uganda wakat wananyimwa misaada na wamarekani kisa Uganda kukataza Ushoga,,,Ushoga nao ni Demokrasia???? Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
  7. Mugabe wa Bongo

    Marekani yasitisha rasmi Ufadhili wake wa MCC kwa Tanzania

    Kama vipi Tuvunje tu nao Uhusiano na tuwatimue na Symbion yao...bora tuwape tenda Wajapan atleast wanaeleweka Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
  8. Mugabe wa Bongo

    Marekani yasitisha rasmi Ufadhili wake wa MCC kwa Tanzania

    Uganda waliambiwa hawatapewa misaada hiyo mpaka watambue Ushoga ndo wapewe MCC Je Uganda nayo ni Zanzibar Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
  9. Mugabe wa Bongo

    Marekani yasitisha rasmi Ufadhili wake wa MCC kwa Tanzania

    Nafuu tufanye Ushirikiano na Wajapani kuliko hawa watu wa mataifa ya Marekani na washirika wake...hawa jamaa hawana ni. Njema na sisi hata sikumoja....
  10. Mugabe wa Bongo

    Mtangazaji Dotto Bulendu Una Marafiki Wangapi?

    Mtoa Post Wivu na Chuki binafsi ndo zinakusumbua...We ulitaka Akutaje wewe ndo ufurahi ama.... Kusema rafiki yangu Fulani...ni kuonesha kua hamtaji mtu au kumzungumzia kwa nia mbaya...na kwamba hawana tofauti yoyote but wanaweza kua wanakinzana tu kwenye hoja....sasa wewe kwa akili zako za...
  11. Mugabe wa Bongo

    Advocate Philbert Gwagilo Amepotelea wapi????

    Mwezi March mwaka huu 2015,Taarifa ilitoka ya kupotea kwa Wakili Philbert Gwagilo ambaye ni mwenyeji wa Dodoma,Ambapo kwa mujibu wa chanzo cha taarifa hiyo kilieleza kua Gwagilo alipotea katika mazingira ya kutatanisha,huku kukiwa hakuna mwenye taarifa kuhusu wapi Ndugu yetu Philbert Gwagilo...
  12. Mugabe wa Bongo

    Utata waibuka Askari aliyeripotiwa kujiua mwenyewe

    tatizo Hakuna ripoti inayotolewa kama hii..kama una hizo taarifa kwanini wewe hua unakaa kimya badala ya kuleta hata uzi humu JF...watu wajadili
  13. Mugabe wa Bongo

    Naomba Kupewa Profile ya Taasisi ya IPSOS

    binafs siwaamini hao IPSOS nahis ni drama
  14. Mugabe wa Bongo

    Naomba Kupewa Profile ya Taasisi ya IPSOS

    Habari za majukum wana JF, Nimesikia kuna taasis inaitwa IPSOS ambayo ni taasis inayofanya research na kutoa majibu kuhusu usikivu na idadi ya wasikilizaji pamoja na ubora wa Vipindi na watangazaj wa Radio na TV. Clouds Media naona wanajinadi wao ndio wameonekana kua bora kuliko vipindi vyote...
Back
Top Bottom