Nimesitikana sana kusikia Zuhura Yunus kaletwa ikulu sijui hata wanausalama wanaogopa kushauri
MTU aliitukana sana Tanzania Leo hangaya anamleta.
Inauma sana ndiyo maana watu wanajiunga misituni because mambo ya ajabu kama
Kumbuka kwamba chama cha Lazarus Chakwela ndicho chama kilicholeta Uhuru wa taifa hilo kikiongozwa Na Dkt. Banda(hayati).
Chama hicho kilidhoofika kama CCM ilivyokuwa imedhoofika kipindi cha Dkt. Jakaya Kikwete.
Baada ya chama hicho Malawi kudhoofika, Wamalawi walifanya majaribio wakakitoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.