Recent content by Mugabe one

  1. M

    Rais Samia amteua Zuhura Yunus kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Jaffar Haniu kupangiwa kazi nyingine

    Nimesitikana sana kusikia Zuhura Yunus kaletwa ikulu sijui hata wanausalama wanaogopa kushauri MTU aliitukana sana Tanzania Leo hangaya anamleta. Inauma sana ndiyo maana watu wanajiunga misituni because mambo ya ajabu kama
  2. M

    GE2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

    Watu wsmesombwa kutoka BARIADI halafu unasema chato ni ngome ya cdm
  3. M

    Je, Magufuli anajua Rais wa Malawi alikuwa Mpinzani?

    Kumbuka kwamba chama cha Lazarus Chakwela ndicho chama kilicholeta Uhuru wa taifa hilo kikiongozwa Na Dkt. Banda(hayati). Chama hicho kilidhoofika kama CCM ilivyokuwa imedhoofika kipindi cha Dkt. Jakaya Kikwete. Baada ya chama hicho Malawi kudhoofika, Wamalawi walifanya majaribio wakakitoa...
  4. M

    Harufu ya ufisadi stendi mpya Mbezi: Je, CHADEMA ilishindwa kuisimamia Serikali ipasavyo?

    Labda Serikali ya Tundu Lisu kwenye JAMII forum!
  5. M

    GE2020 Lissu, je wananchi wa vijijini watazitumia hizo reli unazotaka kuzijenga Dar?

    Kwani Dar ni kijijini? kweli Huyu ni Tundu akili ikishamwagikia
  6. M

    GE2020 Video: Watu waondoka uwanjani baada ya wanamuziki kumaliza kutumbuiza Zanzibar

    Kiwanda cha uongo cha chadema kina tbs Siku hizi
Back
Top Bottom