Ernest 255
Member
- Oct 7, 2020
- 42
- 27
Nimetumia jf kwa miaka sita sasa ila nilikua nikisoma habari za watu na kujifunza vitu vipya zaidi imenikuza kiakili. Leo nimejiunga rasmi nafurahi kuwa huku.
karibu sana ndugu mgeniNimetumia jf kwa miaka sita sasa ila nilikua nikisoma habari za watu na kujifunza vitu vipya zaidi imenikuza kiakili. Leo nimejiunga rasmi nafurahi kuwa huku.
jinsia yako tafadhali?Nimetumia jf kwa miaka sita sasa ila nilikua nikisoma habari za watu na kujifunza vitu vipya zaidi imenikuza kiakili. Leo nimejiunga rasmi nafurahi kuwa huku.
Asante sanaKaribu sana
Asante,,, hahaha hapana mkuuKaribu sana, ila angalizo usije kuw na umeingia kwa tiketi ya fisiemu
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Kiumejinsia yako tafadhali?
Hahahakaribu mgeni ila kabla hujaingia hakikisha unavua soksi pamoja na viatu 'tunajua soksi zako zimetoboka kwenye visigino' usije ukatia aibu
Asante sanaKaribu sana
Mbona mwandiko wako unaonekana kuwa sio mgeni hapa JF?Nimetumia jf kwa miaka sita sasa ila nilikua nikisoma habari za watu na kujifunza vitu vipya zaidi imenikuza kiakili. Leo nimejiunga rasmi nafurahi kuwa huku.
Umetokea wapi? Mjumbe wako anataarifa?Nimetumia jf kwa miaka sita sasa ila nilikua nikisoma habari za watu na kujifunza vitu vipya zaidi imenikuza kiakili. Leo nimejiunga rasmi nafurahi kuwa huku.
Hahaha nimekua nikisoma habari zenu kwa muda ndio maana nimekua siyo mgeni hata kwenye mwandiko.Mbona mwandiko wako unaonekana kuwa sio mgeni hapa JF?
HahahaUna namba ya nida
Lazima apate taarifaUmetokea wapi? Mjumbe wako anataarifa?
Asante sanaWelcome sana
Asante sana BrendaKaribu Sana Ernest 255