Wakuu anayefahamu shule nzuri kwa kidato cha tano na sita. kwa michepuo ya sanaa.
Shule iwe DAR au Pwani.
Ikiwa ya wasichana tupu itafaa zaidi.
Ada iwe kati ya 1 000 000/- mpaka 3 000 000/-
Natanguliza shukrani.
Hivi ni lini mara ya mwisho kutangazwa pwani imekumbwa na baa la njaa?
Vipi kuhusu kilimo cha mananasi chalinze na kiwangwa unazungumziaje
Pia usisahau pwani kuna bahari kuna watu hata kushika jembe hawajui wanaendesha maisha kwa uvuvi tu na wana make pesa za kutosha kuliko hata hao wakulima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.