mufti wa kaole
Member
- Jan 2, 2018
- 53
- 64
Wakuu anayefahamu shule nzuri kwa kidato cha tano na sita. kwa michepuo ya sanaa.
Shule iwe DAR au Pwani.
Ikiwa ya wasichana tupu itafaa zaidi.
Ada iwe kati ya 1 000 000/- mpaka 3 000 000/-
Natanguliza shukrani.
Shule iwe DAR au Pwani.
Ikiwa ya wasichana tupu itafaa zaidi.
Ada iwe kati ya 1 000 000/- mpaka 3 000 000/-
Natanguliza shukrani.