Unajifany hujui au unajisahaulisha kuwa Zanzibar pia ipo TRA ambayo inakushanya kodi na kuzipeleka uko bara na ndio hulipwa hao wabunge na sio kwamba iyo mishahara na posho za wabunge wa Zanzibar zinatoka uko Tanganyika
Ivi ilivyofunguliwa ile Hotel ya bakhresa Hotel Verde Zanzibar ulikua wapi? Ila nimesikia mwezi wa saba watajiri ten so usicheze mbali na ni vyema ukawa na connection na mtu ali aweze kukusaidia kwa urahisi
Hahahaha sas Masheke unaowazungumzia wew ni kabla ya mapinduzi unadhani Wazazi wa kipindi hicho walikuwa na Muwamko wakuwapeleka watoto wao madrasa wakiwa na umri mdogo ni sawa na Muwamko wa sasa?
Ivi unajua kuwa hao mashekhe ambao wew unaawadharau izo sheria hawajaziweka wao wanafuata mungozo wa kur an na sunna za Mtume Muhaammad (S.A.W)? Nimeshakwambia ni vigumu kutenganisha kichwa cha mwanamke wa kizanzibar na ushungi
Jiulizee Zamani iyo inayotoa mashekhe wakubwa wakubwa ilikua ni kabla ya Mungano wa Tanganyika na Zanzibar au baada ya Mungano? Na kwani ni nani alielazimishwa kuvaa ayo mashungi? Kuna walioshikiwa mitutu ili wavae mashungi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.