Wakina nanWanakuja
Habar wana JF
Wale wakazi wa Zanzibar Unguja Pemba nk...ambao wapo JF naomba kupata habar za soko la kuku wa kienyeji
Nikiwa katika matembezi yangu katika mkoa wa Tanga nimeona kuku wengi wakinunuliwa mitaani na kwenda kuuzwa Zanzibar.......
Vitunguu maji ni 140000 ( 140k )Salaam wakuu.
Nadhani mleta mada alitaka kuelekezwa kuhusu soko la Kuuzia kuku wa kienyeji kwa hapo Zanzibar
Pia na mimi naomba kuelekezwa kwa hapo Zanzibar soko la vitunguu maji lipo na kwasasa net inauzwaje?