Recent content by muddyz

  1. M

    Depo inakuaje huko CCP Moshi

    Kwanza unatakiwa kuwa na nia hyo itakusaidia kiwa mvumilivu Nidhamu ya hali ya juu sn Usiwe na kiherehere Ushirikiano na wenzako Mengne utayaona hukohuko nakuyakabil lkn lazma uwe na NIA kwanza la cvyo upara tu unakukmbza Mengne km ya jkt tu
  2. M

    Mkombozi bank vs Stanbink bank

    Uandishi ni professional kaka heading umeweka nikajua kuna picha za maiti haa kumbe hoja zeny pumba kiasi hk et kwnn wametajwa weng wa kristo sababu wakristo ni weng zaidi bungen kulko waislam au hujui hl
  3. M

    Prof. Tibaijuka - Ufadhili shule ya Babro Johansson

    Kwnn asinge jenga maabara katka shule za kata hyo bablo ada mil tatu tena na ufadhl ipewe huu ni mchezo mchafu bibi bomba kachemka
  4. M

    Nilikwenda Kuonana Na Mh.Rais, Askari Wamenizuia Na Kunitisha Kwa Mitutu!!

    Coz ray c kaenda ukadhan ni kwenda tu ukijickia
  5. M

    Kwa jeshi la polisi Tanzania

    Huyu hajielew na amekurupuka!! Kesi yoyote inayomuhusu askar kupiga mtu au kuua wanafikishwa mahakaman na kufukuzwa kazi!! Wewe ulipigwa ulkua wap na ukafungua kesi kituo gn na rb yako ni ip! Weka vielelezo hapo ili usaidiwe
  6. M

    Mwandishi "Tanzania Daima' usikurupuke namna hii

    Mwinza uko sahihi lazima utambue wilaya ni moja tu ya bukoba halmashaur zko mbil sasa amekosea nn utueleze
  7. M

    Msaada tafadhali, Dar-Mwanza

    Trafick akisimamisha akauliza vp safar sema mbaya uone abiria wenzako watavyokuzodoa lkn mkipata ajali wanalalamika dereva alikua anakimbia sn
  8. M

    Baada ya kuchukua mkopo Benki, mwezi wa pili sasa hawajanikata mshahara

    Grace period miez mitatu!! Usidhan mipango ya mungu
  9. M

    Polisi anayemtukana Rais Kikwete ahaha asifukuzwe kazi

    Nikushaur nenda kwa ocd wake kalalamike ndio utaratbu, hapo kuna dc rc rpc watajadil km kamat ya ulinz watachunguza nakuchukua hatua ila sio kupost kweny mitandao. Wewe kwanza huna kazi inavyoonekana ndio maana hujui procedure za serikalin
  10. M

    Polisi anayemtukana Rais Kikwete ahaha asifukuzwe kazi

    Acheni upuuzi wenu!! Lema kila cku anatukana serikali nzima tena viongozi wa andamizi kwa majina huyo raisi ndio kila anapopanda jukwaan anamkashifu leo hii huyo polisi wa kijijin huko bugalama ndio unajifanya unauchungu sn nenda kwny mikutano ya cdm ukajifunze jinsi viongozi wanavyotukanwa na...
  11. M

    Maisha ya Mwanza

    Fata ushauri wa kongi nyumba zpo ila itakua pemben ya mji kidogo nyakato igoma nyegezi mkuyun mkolan kilimahewa ilemela na maeneo mengne
Back
Top Bottom