Recent content by mud ice

  1. M

    Subaru Forester ina matatizo gani?

    kwa bongo hizi gari zilichelewa kuingia, ila kwa wenzetu kenya ni nyingi and they like them, swala la spare parts ni lazima kwa bongo tutegemee kuwa vigumu kupatikana make dealers wasingeleta spere bila kuona demands,now expect spare kupatikana na for reliable price kwa sababu waliojaliwa...
  2. M

    Subaru Forester ina matatizo gani?

    usipoipenda hujui kuchagua. je unaipenda toyota bito?
  3. M

    Ushauri kuhusu mkopo wa gari

    I like the way you respond most of you.it show good familiality, Naomba tuebndelee kusaidiana. kuna baadhi ya premio corona zinakuwa na tatizo la kuchanganya oil na gas/petrol. please naomba msaada ili kuzifaham aina yake ni ipi. thanks waungwana.
  4. M

    Siri nyingine ya Ngeleja: Wamarekani tayari wanachimba Uranium Tunduru kisiri siri?

    kati ya mwenye elimu ya madini, lawyer,mwalim na nk. ni nami anaweza kulifafanua kinagaubaga swala la uwekezaji katika sect ya madini? ndo mana ati mwanasheria tena yawezekana hajawahi kuiona gold on its naturallity anakwenda kuingia mkataba na mwekezaji. ni nini tutegemee
  5. M

    Siri nyingine ya Ngeleja: Wamarekani tayari wanachimba Uranium Tunduru kisiri siri?

    mjomba ulivyo viandika hapo vyote una uhakika navyo. do yo real knw the rise of mining companies operating tz. thnk BBBBBIG
  6. M

    Rais awe anaajiliwa

    je, kuna umuhim wowote wa kuongozwa na viongozi wazalendo hasa uraisi? wagombea wengi wamekuwa wakijiita wazalendo bt at the end of the day wizi mtupu. hamuoni kuwa kuna umuhimu wa kuongozwa na viongozi kwa mikataba ya ajila yenye kulindwa na bunge na sio chama kama ilivyo( maamuzi yote...
  7. M

    Taratiiiibu…. Geuka Nyuma!!!

    hivi, at ikulu kuna mgao wa umeme?
Back
Top Bottom