Wanasema match ikibepostponed beyond 48 hours then itabeconsidered void hivyo unaberefunded kama ni single bet, kama hiyo mechi ipo katika multiple bet then itabeconsidered with odd 1
Kama match imebepostponed within next 48 hrs then itabeconsidered valid na mkeka utaendelea kupumua mpaka hiyo...
kama wanakata 253,000 kwa mwezi, kwa miaka mitano watakuwa wamevhukua 253000 *12*5 ambayo ni sawa na 15180000.
riba=(makato kwa mwaka - mkopo)/mkopo
riba= (15180000-10000000)/10000000=51.8% kwa miaka 5 ambayo ni kama 10% kwa mwaka..
nmeenda setting then video then acceleration ila render haipo active. Natumia latest version ya Kodi. cjui tatzo litakuwa nn mkuu ila katka PC inakubali vzuri tu
singo iliyoanzishwa na Chadema kuwa ACT ni kibaraka wa CCM na imekuja kugawa kura za upinzani inazimwa na Chadema pia kwa kukataa ACT wasijiunge Ukawa.
Kwa mtazamo wangu naona hiyo barua wametuma on purpose wakijua kabisa kujiunga na Ukawa haiwezekani.
Soon awamu ya pili ya ziara ya kufyeka...
hivi hamjui kwann ACT wametuma barua ya kutaka kujiunga UKAWA? ACT wanafuta kale kamsemo kuwa wamekuja kugawa kura za upinzani. Soon wataanza ziara ya awamu ya pili wakati wabunge Wa upinzani wakiwa mbungeni. Wakifika kwa wananchi wanachakusema pale watakapoitwa wasaliti wa upinzani, kuwa...
kama kuna sababu ya msingi, uchaguzi unahairishwa tu. kama unakumbuka mgombea mwenza wa CUF kama cjakosea alifariki ghafla ikabidi uchaguzi usogezwe mbele kidogo.
Pia mchakato wa kupata wagombea ndani ya vyama inachukua miezi 2 ambapo huwa unaanza mwezi wa 5 mpaka wa 7. Kuanzia mwezi wa 7...
inategemea ulivyoichukulia hiyo statement. mfano mtu akisema nchi yangu Tanzania. It doesn't mean something I possess/own rather It means something am involved in.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.