Recent content by much no

  1. M

    Special Thread: Wauza Nyumba, Viwanja na Mashamba.

    Napangisha nyumba Segerea Bonyokwa jirani na Masia Hotel...vyumba vitatu vya kulala kimoja master,sebule kubwa na dinning,jiko,stoo,choo public...ina tiles,gypsum na viio aluminium...eneo kubwa la nje...mwenye kuhitaji ani pm
  2. M

    Scholarships for Masters Degree for Women in Australia

    Mkuu mtoa mada ofisi zenu kwa Dar ziko wapi?Je mnafanya kazi hadi siku za Jumamosi?Nahitaji kufika hapo
  3. M

    Steven Wassira ajikanyaga kumjibu Maalim Seif

    Kama ilivyo Slaa kiboko ya magamba.
  4. M

    Top Five companies to work for in Tanzania apart from the UN

    20 years ulikuwa unafanya nn ughaibuni halafu urudi kuajiriwa?duh
  5. M

    Huu ni mkosi ama

    dogo miezi 2 ushaanza kuona kitaa kichungu,ukikaa miaka 2,3 si utakufa kabisa...ukijiona una mkosi itakuwa hivyo
  6. M

    Nataka Apply TPDC

    Wadau JF, Mimi nataka kuomba pia moja kati ya hizo nafasi,,naomba mwenye kufahamu scale ya TPDC PS 5 ni Tshs ngapi? Asanteni
  7. M

    Girls, Sio kila Relationship imeandikwa ifikie ndoa!

    you are very right,siku hizi ukitaka kummaliza binti mwambie unataka kumuoa!yaani mpaka utashangaa utajilia kiulaini kumbe wengine kutongoza is just their hobby
Back
Top Bottom