Recent content by mtz-01

  1. M

    JamiiForums Tanzania Deogratius Kisandu: Mtoto wa Rais Mstaafu amenionea

    Nimecheka sana
  2. M

    JamiiForums Tanzania USA wametuonyesha, tusicheze na Taasisi ya Urais!

    DV8 f it cub
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mkandarasi achota 3bn advance akimbia! Alipewa kujenga km 26 za lami wakati hana ujuzi wowote...

    mkuu usishangae hata magufuli mwenyewe anahusika,tanzania ni zaidi ya uijuavyo,hii ndio tanzania usanii mtindo mmoja
  4. M

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Utalii na Maliasili Mh. Lazaro Nyalandu amezindua ndege mbovu

    soma vizuri post ndege toka imekuja miaka 3 iliyopita haiwajawahi kuruka sasa hizo service unazofanya kila baada ya msasaa fulani unazipata wapi?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Hongera CCM kwa ushindi Kalenga lakini

    Kwenye chaguzi zote wenye maamuzi ya mwisho ni wananchi,kalenga wananchi wameamua tunaheshimu maamuzi yao,swali la kujiuliza wananchi wana elimu ya kutosha kuhusu elimu ya uraia au wamechagua kwa sababu ya ushabiki,kanga,kofia na pilau,je wanajua kwamba serikali hii ya ccm iko madarakani kwa 50...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA haikusimamisha mgombea uenyekiti bunge la katiba?

    well said>>nimekupa big LIKE
  7. M

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Katika Siasa hakuna Malaika wala Shetani

    cc:ZITTO ZUBERI KABWE
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mbio za Urais: Makamba Jr agawa laki 1 Ruvuma

    mosi naomba ujifunze kiswahili, pili mbona hueleweki unaonekana kama hukubaliani na suala la makamba jr kutafuta uraisi kwa upande mwingine unasema njia anayotumia sio nzuri, tatu unalalamika kwamba aanze kufanya kampeni nyumbani kwanza,,wewe sema huo mgao umepita pembeni ndio...
  9. M

    JamiiForums Tanzania MWIGULU NCHEMBA: Siyo Wabunge wote wa CCM ni Mbumbumbu...

    jembe ni chuma chenye tundu katikati ambacho hakifanyi kazi bila kuingiziwa jiti kwenye tundu sasa kuwa makini usije ukawa unamtukana mheshiwa halafu ukakosa posho
  10. M

    JamiiForums Tanzania Hivi mh. Godbless Lema ni kweli unaufahamu mji wa Arusha au?

    think big,,kinachotokea sasa hivi kwa tanzania ni watu kujua nini serikali inatakiwa kuwafanyia na nini wajibu wao kama wananchi,dr.slaa,mnyika,zito na kina lema wanachokifanya kuwafumbua wananchi macho,wanawapa elimu ya uraia ,,,so wananchi wameanza kujua haki zao wakidai haki zao watawala...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kati ya Magufuli na JK mkweli yupi???

    hapa kosa si la mchina tatizo hapa ni serikali ya ccm(magamba) inapenda vitu vya bei rahisi,wachina wanajenga barabara kutokana na matakwa ya client(government) mchina hawezi jenga nyumba ya zenge aweke paa la vigae wakati kapewa hela ya kujenga nyumba ya suti (tope chini mpaka juu),,,design...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kati ya Magufuli na JK mkweli yupi???

    uko sahihi kuna barabara zinajengwa na fedha za ndani,,nikupe taarifa hakuna mradi unaojengwa kwa fedha za ndani unaoisha on time sababu hela zinachelewa kutoka na miradi yote hii serikali inapata hasara kwa sabubu contractor anaomba extension of time ambako lazima gharama inaongezeka...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Hizi signal zinaweza kutusaidia waliohusika na bomu la Arusha juzi

    nice analysis nime like,,you right 100%
  14. M

    JamiiForums Tanzania Askari No F1873 PC Samuel wa Kagera agushi vitabu vya kujipatia kipato

    Askari huyo mwenye picha hapo chini alifanya kosa hilo kwa makusudi huku akijua kugushi nyaraka za serikali ni kosa kisheria, askari huyo alibainika na kosa hilo mwaka jana, hadi IGP akaunda tume ya uchaguzi wa suala hilo kutoka makao makuu ya jeshi la polisi ikiongozwa na na afande MASINDOKI...
Back
Top Bottom