Hongera CCM kwa ushindi Kalenga lakini

Hongera CCM kwa ushindi Kalenga lakini

mtz-01

Member
Joined
Apr 25, 2013
Posts
15
Reaction score
4
Kwenye chaguzi zote wenye maamuzi ya mwisho ni wananchi,kalenga wananchi wameamua tunaheshimu maamuzi yao,swali la kujiuliza wananchi wana elimu ya kutosha kuhusu elimu ya uraia au wamechagua kwa sababu ya ushabiki,kanga,kofia na pilau,je wanajua kwamba serikali hii ya ccm iko madarakani kwa 50 sasa na hakuna walichofanya,je wanajua shule hazina walimu,hakuna vitabu,hakuna maabara sababu ya uzembe wa ccm na seriakali yake,je wnajua ccm na serikali yake ndio wanaingia mikataba mibovu ya gas,madini na uwekezaji mwingine ambayo haina faida kwa taifa

Am just thinking, ni mtazamo wangu
.
 
Acha matusi siyo kweli kuwa wananchi wa kalenga wamechagua CCM kwa sababu ya kanga na kofia bali imani yao kwa mgombea ubunge. Mlimwacha aliyekuwa nafasi ya kwanza kwenye kura ya maoni, hayo ndiyo majibu yake. mmefanya makosa waliyofanya CCM Iringa mjini mwaka 2010 na matokeo yake wakapoteza jimbo.
 
kwenye chaguzi zote wenye maamuzi ya mwisho ni wananchi,kalenga wananchi wameamua tunaheshimu maamuzi yao,swali la kujiuliza wananchi wana elimu ya kutosha kuhusu elimu ya uraia au wamechagua kwa sababu ya ushabiki,kanga,kofia na pilau,je wanajua kwamba serikali hii ya ccm iko madarakani kwa 50 sasa na hakuna walichofanya,je wanajua shule hazina walimu,hakuna vitabu,hakuna maabara sababu ya uzembe wa ccm na seriakali yake,je wnajua ccm na serikali yake ndio wanaingia mikataba mibovu ya gas,madini na uwekezaji mwingine ambayo haina faida kwa taifa"""am just thinking ni mtazamo wangu

MAJIBU SAHIHI
--------------------
Jibu ni kuboreshwa kwa Daftali la wapiga kura tuu.

Karenga ni mabibi ndio yamepiga kura kalenga sasa unafikili maCCM yangefeli kweli....

Makamanda piganieni maboresho ya daftali sasa chaguzi hizi, kwa mjini kama chalinze tutashinda tu ata kwa daftali hili.

Hongera chadema kwakushinda (ingawa hakutangazwa), kama TISS wote walikuwa pale, police nao, kauli ya mkuu wa kaaya lazima kushinda, vitisho vywa green guard na CCM mkoa, na nguvu kubwa ya kutisha vijana na watu makini kutopiga kura.... Nasema tena hongereni sanaa, SASA TUELEKE CHALINZE HAKUNA KUKATA TAMAAAAAAA...

Mungu bariki Tanzania
Mungu bariki Tendega for 2015
 
Matusi yenu kwa sisi wananchi ndio yataendelea kuwaumiza.
 
kwenye chaguzi zote wenye maamuzi ya mwisho ni wananchi,kalenga wananchi wameamua tunaheshimu maamuzi yao,swali la kujiuliza wananchi wana elimu ya kutosha kuhusu elimu ya uraia au wamechagua kwa sababu ya ushabiki,kanga,kofia na pilau,je wanajua kwamba serikali hii ya ccm iko madarakani kwa 50 sasa na hakuna walichofanya,je wanajua shule hazina walimu,hakuna vitabu,hakuna maabara sababu ya uzembe wa ccm na seriakali yake,je wnajua ccm na serikali yake ndio wanaingia mikataba mibovu ya gas,madini na uwekezaji mwingine ambayo haina faida kwa taifa"""am just thinking ni mtazamo wangu

Mtazamo unaowanyima kura kila mkigombea.
Elimu ta uraia? Ipi?
miaka 22 ya mageuzi bado raia hawana elimu ya uraia?
Kijana mwenye miaka 30-40 unasema hana elimu ya uraia? wakati vyama vinaanza vijana hao walikuwa +18 years( sekondari nk) .Wazee waliokuwa wana miaka 50 wakati vyama vinaanza leo wana miaka 70.
Mliambiwa 1992 nendeni mkaweke kambi vijijini kwenye grass root mkakataa mkataka mpitie dirishani.
Ikulu hamtaingia ng' oo!
 
Huu ndio ujuha ambao kila mtu hasingependa kusikia sasa. Kabla ya jana cdm walidai KALENGA kama Arumeru. Changamoto unazosema kuhusu shule, maji barabara sijui upuuzi upi wananchi ambao ndio wapiga kura wanaona ni porojo za kila siku kwani wanajua wametoka wapi, wako wapi na wanaenda wapi. Hawahitaji uende pale uende kuhutubia hayo na kuwafanya hamnazo. Inawezekana vipi umtoe mtu kaskazi kuwa campaign manager Kalenga, hiyo ni dharau kwa watu wale wakati hata siku moja hawajawahi kumsikia Tendegu amekuwa mEneja kaskaz. Hivi hilo daftari la wapiga kura kule Arumeru liliboreshwa? Acha ujUha BWANA kubali yaishe. NamnukUu Bw. Mbowe siku mbili kabla ya uchaguzi akihutubia waliokuja kushangaa chopwa Iringa kwamba. Ndugu zanguni ''uchaguzi wa Kalenga ndio kipimo cha cdm katika uchaguzi mkuu 2015'' mwisho wa kunukuu. Sasa kapigwa 13-0 NA ndio kipimo hicho , jitayarishe kisaikolojia au njoo chama cha USHINDI
 
MAJIBU SAHIHI
--------------------
Jibu ni kuboreshwa kwa Daftali la wapiga kura tuu.

Karenga ni mabibi ndio yamepiga kura kalenga sasa unafikili maCCM yangefeli kweli....

Makamanda piganieni maboresho ya daftali sasa chaguzi hizi, kwa mjini kama chalinze tutashinda tu ata kwa daftali hili.

Hongera chadema kwakushinda (ingawa hakutangazwa), kama TISS wote walikuwa pale, police nao, kauli ya mkuu wa kaaya lazima kushinda, vitisho vywa green guard na CCM mkoa, na nguvu kubwa ya kutisha vijana na watu makini kutopiga kura.... Nasema tena hongereni sanaa, SASA TUELEKE CHALINZE HAKUNA KUKATA TAMAAAAAAA...

Mungu bariki Tanzania
Mungu bariki Tendega for 2015

Hao mabibi wajukuu zao si nyie wanywa viroba?
Ni kweli vibibi vibabu na wakina mama wametafakari sana hawaoni faida ya wajukuu zao kuwa upinzani. matendo yanabeba taswira ya chama ndio maana wanakosa mbadala na kubaki ccm.
Kama mjukuu aliekwenda shule japo sekondari ya kata anashindwa kutoa ushawishi chanya kwa vibibi au vibabu tunategemea nn?
Wazee hawawezi kukimbizana.
 
Mbowe alisema;" Hatuhitaji daftari jipya tutatumia la zamani" Sishuki na chopa hakiya mungu kama kufia angani acha nifie angani. bao 13-0 na bado Mmempeleka mmasai kwa wakwere.mfugaji mharibifu wa mazao ya ------ mkulima. mmebugi step.
 
CDM katika hili mnajichanganya sana kila Mkipigwa mnasingizia ooh daftari halijaboreshwa mara TISS....mara wazee tu wamepiga kura .....Daftari linalotumika sasa ndo nilijiandiksha na am 23yrs old je rika hilo wote ni wazee...mnataka tuamini kuwa walio kwenye daftari la kudumu wote ni wazee sasa je Mlishinda vp Arumeru,Ubungo na kwingineko mlipigiwa na hao wazee am Daftari waliboresha....Ukweli ni kwamba CDM imepigwa cha msingi ni kuangalia walipojikwaa sio kuleta Visingizio....CCM bado ina nguvu tofauti na tunavyofikiria ukizingatia wako madarakani na wana Resources za kutosha... by Mkereketwa wa Vyama vingi Tz
 
Nilishuhudia msululu mzima hakuna hata kijana,hawana shahada.Niwa bibi wanao fikiri Nyerere bado Raisi.Daftari kuboreshwa ndiyo jibu
 
CDM katika hili mnajichanganya sana kila Mkipigwa mnasingizia ooh daftari halijaboreshwa mara TISS....mara wazee tu wamepiga kura .....Daftari linalotumika sasa ndo nilijiandiksha na am 23yrs old je rika hilo wote ni wazee...mnataka tuamini kuwa walio kwenye daftari la kudumu wote ni wazee sasa je Mlishinda vp Arumeru,Ubungo na kwingineko mlipigiwa na hao wazee am Daftari waliboresha....Ukweli ni kwamba CDM imepigwa cha msingi ni kuangalia walipojikwaa sio kuleta Visingizio....CCM bado ina nguvu tofauti na tunavyofikiria ukizingatia wako madarakani na wana Resources za kutosha... by Mkereketwa wa Vyama vingi Tz
vijana wa aina yako wame move kwenda mjini,mmeacha wazee vijijini ndiyo wanao piga kura huko.Vijana wa form iv miaka minne wote hawajaandikishwa
 
Matusi yenu kwa sisi wananchi ndio yataendelea kuwaumiza.

sio matusi ndo ukweli wenyewe huo, na huyo mgimwa jr akistaafu or anything mpeni mwanae mtawaliwe na familia moja mpaka milele na milele amina.
 
Hivi mnaobeza Chadema kushindwa kalenga mlitaka Chadema isusie uchaguzi na Ngimwa apite bila kupingwa? Maana hivi vyma vingine ni kama vimekata tamaa kabisa. kushiriki kwa Chadema ni muhimu sana na CCM inapenda hivyo maana wakishinda kama hivi nao wanajua kwamba bado wanapendwa katika eneo husika. Hakuna mtu mwenye akili nzuri ambaye hajuai kwamba Ridhuani atashinda Chalinze lakini lazima ashindane na watu wengine ajipime anakubalika vipi. Jamani kulingoa jitu kama CCM sio kazi rahisi na itachukua muda. Chadema should stay the course.
 
Hivi mnaobeza Chadema kushindwa kalenga mlitaka Chadema isusie uchaguzi na Ngimwa apite bila kupingwa? Maana hivi vyma vingine ni kama vimekata tamaa kabisa. kushiriki kwa Chadema ni muhimu sana na CCM inapenda hivyo maana wakishinda kama hivi nao wanajua kwamba bado wanapendwa katika eneo husika. Hakuna mtu mwenye akili nzuri ambaye hajuai kwamba Ridhuani atashinda Chalinze lakini lazima ashindane na watu wengine ajipime anakubalika vipi. Jamani kulingoa jitu kama CCM sio kazi rahisi na itachukua muda. Chadema should stay the course.

haswaa uko sawa Mkuu Upinzani lazima uwepo....kinachosikitisha tuna Utitiri wa Vyama ila vilivyo Active ni 2 tu,Nafikiri hivi vingine vipo kwa ajili ya kudhoofisha upinzani bora tungekuwa navyo 5 tu Active
Mkereketwa vyama vingi Tz
 
kwenye chaguzi zote wenye maamuzi ya mwisho ni wananchi,kalenga wananchi wameamua tunaheshimu maamuzi yao,swali la kujiuliza wananchi wana elimu ya kutosha kuhusu elimu ya uraia au wamechagua kwa sababu ya ushabiki,kanga,kofia na pilau,je wanajua kwamba serikali hii ya ccm iko madarakani kwa 50 sasa na hakuna walichofanya,je wanajua shule hazina walimu,hakuna vitabu,hakuna maabara sababu ya uzembe wa ccm na seriakali yake,je wnajua ccm na serikali yake ndio wanaingia mikataba mibovu ya gas,madini na uwekezaji mwingine ambayo haina faida kwa taifa"""am just thinking ni mtazamo wangu

Mzimu wa zitto kabwe bado unaitafuna chadema..alisema pesa zinazopatikana kutokana na ruzuku ziende kwenye chama ngazi ya kata kuhimarisha chama mkamuona ni ndondocha..mmenda kalenga na choppa na kelele kibao kule akuna mtu anaijui chadema..sasa mmebaki kula 10% za choppa na akuna mnachoaambulia zaidi ya aibu..bado nakubaliana na usemi kwamba wenyeviti wote wa siasa Tz ni usalama wa taifa..tafakari chukua hatua..
 
Back
Top Bottom