Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,380
Anaandika Deogratius Kisandu kutoka kule Facebook kwenye akaunti yake.
MTOTO WA RAIS MSTAAFU UTANITAMBUA:-
1. Nani alikupa mamlaka ya kuvi command vyombo vya habari mwaka 2013 vitangaze Deogratius Kisandu ni Jambazi na Gaidi?
2. Ulitumia nafasi yako ya mtoto wa Rais kumdhalilisha Mtoto wa Mtanzania?
3. Ulitumia fedha za baba yako kunichafua na kunidhalilishia Ukoo wangu au sio?
4. Hukujua kama Mimi ni mwanasiasa mwenzio, ulifikiri sitakuja kujua?
5. Wakati bado na deal na Mme wa Mbunge wa Chadema aliyetumia na yeye nafasi yake kunidhulumu, nakuweka pending?
6. Mmenishusha chini kwa nguvu kubwa sana na kunifilisi ili mhalalishe mliyoyatangaza, Umekanyaga pabaya?
7. Niko tayari kuendelea kuumia kuliko kukaa kimya, sasa ninafufuka rasmi, hakuna cha mtoto wa Rais Mstaafu?
8. Najua fika uovu huo na unyama huo ulishirikiana na mmoja wa mawaziri kutoka mkoa wa Tanga, mtanikoma na vyeo vyenu?
9. Sitakubali kuwekewa Jeshi kisa eti Jeshi limtetee mtoto wa Rais mstaafu na huyo waziri, bora damu imwagike kuliko kunifedheehesha.
10. Wabunge wote wanajua ulicho kifanya kupitia uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Nyampulukano Sengerema mwaka 2013.
Pokea Salaam, zangu:- NINAKUJA HUKO JUU:-
Deogratius Nalimi Kisandu
Mtemi Kiongozi wa chama cha ACA tarajiwa.
MTOTO WA RAIS MSTAAFU UTANITAMBUA:-
1. Nani alikupa mamlaka ya kuvi command vyombo vya habari mwaka 2013 vitangaze Deogratius Kisandu ni Jambazi na Gaidi?
2. Ulitumia nafasi yako ya mtoto wa Rais kumdhalilisha Mtoto wa Mtanzania?
3. Ulitumia fedha za baba yako kunichafua na kunidhalilishia Ukoo wangu au sio?
4. Hukujua kama Mimi ni mwanasiasa mwenzio, ulifikiri sitakuja kujua?
5. Wakati bado na deal na Mme wa Mbunge wa Chadema aliyetumia na yeye nafasi yake kunidhulumu, nakuweka pending?
6. Mmenishusha chini kwa nguvu kubwa sana na kunifilisi ili mhalalishe mliyoyatangaza, Umekanyaga pabaya?
7. Niko tayari kuendelea kuumia kuliko kukaa kimya, sasa ninafufuka rasmi, hakuna cha mtoto wa Rais Mstaafu?
8. Najua fika uovu huo na unyama huo ulishirikiana na mmoja wa mawaziri kutoka mkoa wa Tanga, mtanikoma na vyeo vyenu?
9. Sitakubali kuwekewa Jeshi kisa eti Jeshi limtetee mtoto wa Rais mstaafu na huyo waziri, bora damu imwagike kuliko kunifedheehesha.
10. Wabunge wote wanajua ulicho kifanya kupitia uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Nyampulukano Sengerema mwaka 2013.
Pokea Salaam, zangu:- NINAKUJA HUKO JUU:-
Deogratius Nalimi Kisandu
Mtemi Kiongozi wa chama cha ACA tarajiwa.