Recent content by mtwangu

  1. mtwangu

    Tetesi: Hotel ya Ryan Bay Mwanza kubomolewa

    Rail station yard not railway boundaries/reserve
  2. mtwangu

    Tetesi: Hotel ya Ryan Bay Mwanza kubomolewa

    Hiyo Hotel na institute zimejengwa kwenye eneo la stesheni yadi. Makaburi, kiwanda cha samaki n.k. wamejenga kwenye Hifadhi ya njia ya Reli.
  3. mtwangu

    Pakistan yapiga marufuku Valentine Day

    Asili ni mashariki ya kati. Sherehe ya kuzaliwa na maadhimisho ya upendo....hivi vitu viko tofauti. Kufananisha au kusogeza ufanano naona hapo unakuwa mkunjo. Kwa unyoofu ni hivi kuzaliwa ni hatua kuu kwa mwanadamu......kupitia katika makuzi yake hilo la upendo na utashi hufuata na wengineyo...
  4. mtwangu

    Pakistan yapiga marufuku Valentine Day

    Unahitaji niwe na uelwe aina gani? Uelewe wa utambuzi 100% ninao nafikiri wewe ndiye uelewe umekita nchani..... Maulidi ni birthday na Valentine ni nn? Upofu hauliwazwi kwa kupapasa
  5. mtwangu

    Pakistan yapiga marufuku Valentine Day

    Ukihitaji tofauti, jitofutisha kwanza wewe na wenzio baada ya ugamzi nafikiri hutauliza tena tofauti
  6. mtwangu

    Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

    Dah huu ukuu wa koo na ulevi - tusubiri ngano za chifu
  7. mtwangu

    KAF Acquires Over 6 Hellcopters

    Ili hizi kwa msaada wa watu wa Amerika....
  8. mtwangu

    Kumekucha! Kampuni ya Dangote yaweka kila kitu hadharani hivi punde tu!

    Huko Newala-Mtwara Cement bei imeshoot kwa 80% - Elfu TShs 18,000. Awali cement ilikuwa inauzwa elfu TShs 10,000 kwa mfuko (Source Azam Two - Habari)
  9. mtwangu

    Pamba is every thing kwa hawa wajomba

    Hawa jamaa ni nomaaa
  10. mtwangu

    Pamba is every thing kwa hawa wajomba

    Bhana Kongo
  11. mtwangu

    Kwa wahindi,heshima ya bikira hutolewa na wazazi

    Je na hii mila ya kulala kwa zamu ikoje? Nasikia wanalala pamoja kuna zamu ya kulala kwa kila familia, Baba na Mama wao wako full, ila watoto hata wakioa wanakaa nyumba moja ila kuna time ya mambo kila mtu na wakati wake kwa watoto walioa na wale hawajaona wanakula misele road usiku ukifika...
  12. mtwangu

    Tofauti ya Matajiri wa Mikoa ya Kaskazini na Kusini mwa Tanzania

    Mkinga na Mmakondeko wako tofauti sana ila kwenye imani za kishirikina kidogo wanashaibiriana, ila kwenye kushindia maandazi ni wakinga kwa sana. Mmakonde hana hiyo tabia pia toka kitambo mmakonde anavaa vizuri.
  13. mtwangu

    Rais Magufuli, yale magari uliyoenda nayo Rwanda vipi?

    Hivi Rusumo kuna uwanja wa ndege? Angetoka Mwanza hadi Kagera ..gari angepanda hadi mpakani.
  14. mtwangu

    Tetesi: Meya Kinondoni ni Jipu

    Aisee bendera hufuata upepo....Mr prezdar tulimcriticise ndani ya mwezi mmoja na kuendelea kama wanaharakati na uchu wa maendeleo. Na leo sio vibaya kumtazama meya wetu wa Kino miezi yake 2 kutufanyia nini au stori za Ali Natacha na Abunuwasi. Ili penye kufukuta panaonekana aghalabu penye...
Back
Top Bottom