Recent content by Mtwakulyalam Chotipango

  1. Mtwakulyalam Chotipango

    Angalizo; (picha ndani zinatisha) maajabu ya mazishi ya Tibet, Mongolia, China

    Mkuu bado nafikria utofauti wa hii dunia, na ni upi utakuwa mwisho wangu sahihi wa maisha mbele za Mungu & Shetani
  2. Mtwakulyalam Chotipango

    Yaliyonikuta jana!!

    Pole mkuu, hii kesi kwa mara ya pili naisikia kwako
  3. Mtwakulyalam Chotipango

    Nyuki wema, nyuki wabaya!

    Mkuu binafsi nakuelewa sana , then nisamehe cos mara nyingi nikiilewa sana post huwa naicopy kama ilivyo,
  4. Mtwakulyalam Chotipango

    Nyuki wema, nyuki wabaya!

    Ni ngumu sana kwa mwenye kichwa raini kama changu kukuelewa, lakini najitahidi kukuelewa mara zote
  5. Mtwakulyalam Chotipango

    Kikosi kazi hiki kimefitinika!

    Mkuu we ni Creative kama wanavyo sema wenye lugha yao
  6. Mtwakulyalam Chotipango

    Miaka ya neema, miaka ya uharibifu

    Asante mkuu, fundiso limefanana kidogo na picha moja ya kihindi nimetoka kuiangalia jana yaitwa (BEYHADH). Asante kwa fundisho.
  7. Mtwakulyalam Chotipango

    Umewahi kusikia simulizi ya nyoka kupaishwa kwenda angani kutokea baharini?

    kwa mwenye uelewa zaidi tafadhali juu ya hili ............ fafanua
  8. Mtwakulyalam Chotipango

    Tukio hili lilinifanya nimheshimu sana bibi... toka kipindi hicho nilitia akili

    mkuu huo ni ukweli direct hamna hata kupepesa macho, nina uzoefu wa maisha ya kijiji kwa miaka 12.
  9. Mtwakulyalam Chotipango

    Tuliosoma Iringa: The Highlands, Lugalo, Iringa Girls, Mkwawa HS na Mwembetogwa tukutane hapa!

    Lugalo 2010 nimemaliza, nawakumbuka sana #kidenya #Luyagilo #manyama nk
  10. Mtwakulyalam Chotipango

    Hizi pete inawezekana zina matumizi mengine tofauti na kumaanisha ufreemason?

    Mshukuru mzee mmbea aliye kushauri mapema kabla hujaenda kutoa maelezo robo zaidi ya yale aliyo nayo unaye muelezea juu ya pete
  11. Mtwakulyalam Chotipango

    Ni mwenye akili za kuelewa tu ndio ataelewa nukuu hii

    :D:D:D:DMkuu huu utafiti kaidhinisha paramagamba,.......? okey anyway umeeleweka mkuu
  12. Mtwakulyalam Chotipango

    Dar kugumu kweli

    upo sahihi mkuu
Back
Top Bottom