Hapa wajuvi wengi, ila kwa hiyo domain ya email sidhani Kama ni matapeli, ingekuwa domain ni gmail, yahoo au nyingine za dizaini hii kweli ningeisi ni matapeli
First year nakumbuka siku hiyo nmekula wali maini sijashiba nikaenda agiza chips yai, sasa nmeshachukua zile chips nmeweka mezani nmeenda kununua soda narudi nakuta mwamba (wale vichaa wa mwezi mchanga) kakumbatia sahani anakigonga kyepe changu kwa speed ya F-35 stealth fighter. Dah ilibidi niwe...
Kuna haja ya kuanzisha bodi ya waandishi wa habari kama ilivyo bodi ya wahasibu, bodi ya wakandarasi na bodi ya manunuzi na ugavi. Kazi ya bodi hiyo itakua ni pamoja na kusimamia ubora na shughuri za utoaji habari pamoja na kutoa mafunzo.
360k nying sana nmeshuhudia watu wakifanya kwa 200k kwa zaidi ya miez 6 na wengine zaid ya hiyo ila leo hawashikiki. Kikubwa ni focus tu na kutengeneza CV. Private sector ukiotea huwez kutamani serikalini ata kidogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.