Maisha magumu, Ujira kidogo, Tamaa, Anasa bila kusahau maisha yetu wengi ya kutegemeana kama alivyosema mwalimu ndivyo vyanzo vya mambo yanayoonekana si uzalendo kama Rushwa.
Kingine wakati wa ziara pia yule mama alikuw anatuunganisha live alijichanganya na kusema yamebaki masaa kadhaa ndege kutua badala ya dakika kadhaa pia alisema obama rais wa Tanzania huku ni kutojiamin na kutokuw makini kwa kwel alisikitisha sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.