Mkuu hapo katika lugha umekosea kidogo matumizi ya lugha ya kiarabu katika vitabu ni sababu ya kwamba vitabu vingi vya kale zama za mitume na manabii pamoja na mawalii walitumia lugha hiyo kutokana na mazingira yanayowazunguka
Sikufikiria kama benk yetu inafika mpaka huku hongereni benk inayowafuata wateja wake popote walipo.
Mpaka sasa sijawahi kupata tatizo lolote katika huduma zenu kupitia matawi ninayoyatumia
Kwa ufafanuzi huu unahusu ikulu ya tanzania hakuna mashaka kabisa kwamba mfumo wetu wa kiulinzi ni wa kiwango cha juu sana ambao hauwezi kupatikana duniani kote.
Na ndio maana hata marais wa mataifa makubwa washaizowea tanzania na wanazidi kuzuru tanzania kutokana na usalama ulichanganyika na...
Kwa fikra zangu kosa lipo kwa wazazi wenyewe kutokuwa makini katika uangalizi wa watoto wake.
Au ni matokeo ya historia ya wazazi wenyewe ambapo ndio hayo hayo waliowafanyia mabint wa wengine.
Au watoto kupewa uhuru wa kutosheleza kufanya watakavyo.
Au mapenzi ya mzazi kwa mtoto wake mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.