mkuu ni vizur kukachunguzwa system features kama alivyosema mchangiaji hapo juu.ningependa kuongeza sababu za kuangaliwa system features ni hizi;
1.kuna system adminstrator.huenda sytstem adminstrator akawa na uwezo wa kubadilisha number au system performance remotely.pia ana uwezo wa kuacess...
kama unaweza tengeneza.but mimi pia nasoma engineering.usikate tamaa kuhusu kutengeneza.kila kitu ni kiko open kwenye mtandao.unaweza kutengeneza na kukusaidia katika masomo hasa uelewa.ila ushauri wangu katika ugunduzi ni kama unatengeneza ndege ,jiulize unaipa features zipi zitakazoizidi ndege...
namnukuu mkuu wa nchi kutoka hapo juu "Huu ni mwaka ambao tunapaswa kuwa na rasilimali za kutosha kuweza kuwapatia ushindi wagombea wetu, ni mwaka wa kuhakikisha tunafanikisha kwa kiwango kikubwa. "eti ni rasilimali gani?me nlijua atasema hoja .
wazee wangu sometimes tujaribu kupambanua mambo kwa hoja.mtoa mada huenda amekosea wakati akitoa mawazo au hoja yake.napingana na kusema kila mtoa hoja anamchafua mgombea fulani.huu ni wakati wa kuchambua kila tunaefikiri anakua kiongozi wetu.tunapojadili udhaifu qu mapunguf yake humsaudia yy...
wakuu sababu za smart kua nchi nzima ni teknologia wanayotmia....hawahitaji minara.wao wana satellite mobile communication.wanatumia satellite na few ground stations hvyo pia inakua rahis ku cover nchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.