Kaka wewe mgeni kwenye hii biashara fredy ananielewa vizuri nacho sema fredy hawezi uza hizi jez reja reja kama wengine wakati yeye ndo msambazaji mkuu ni sawa uende kwa bwana moo awe anauza bidhaa yake moja moja kama wauzaji wa reje reja
Fredy vunja bei huku mikoani jez ya simba imefikia inauzwa elfu sabini. Kama wewe ndie unatengeneza hii ya kutoa mzigo kidogo ili utengeneze mazingira ya jezi kuto patikana ili uuze zaidi wewe sio mwekezaji tunamtaka mashabiki wa simba sio wote watakao weza mudu gharama za jezi kuuzwa kiasi icho...
Hakuna MTU mwenye akili nyingi chadema kama mbowe ye kabaki na uenyekiti na hataki kabisa kusogelea uraisi anajua uraisi atakosa na ubunge atapita BT aangalie now asije shindwa fika bungeni
Kitu ambacho hufahamu ni kwamba baadhi ya wakenya raia wa kenya wanawatumia hawa watu wenye ulemavu kujipatia fedha. Unaweza kujiuliza hawa watu wamepitia wapi? Wamepitia mpaka gani? Maana hata ukiwauliza hati ya kusafiria hawana wamepata wapi nguvu na nauli ya kufika kenya? Ujue kuna mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.