Kwa mtu ambaye si mkatoliki au ni mkatoliki ..uliza swali lolote usilolijua..kuhusu kanisa na mapokeo..nami nitakujibu kwa ku refer kwenye biblia...maana mapovu yanawatoka sana mnapotumwa kutafuta sadaka...kwa ajili ya wachungaji wenu fake
Mungu anatupa pumnzi ya kutosha sana mpaka tunajikuta tunakufuru..kudanganya na kufanya yale tunayoona yanafaa...well...hebu mimi naomba nisaidiwe references nikasome nione ni wapi huyo mama alikuwa amevaa kimini...au ni vitabu vya kisabato tu ndio vimeandika hivo...maana huwa hamkawii hata...
Usiongee tu lete source ya fact zako...usiishie kusema eti umefanya research...wewe uhahisi kwa kusema hivo ndio utakuwa umemaliza kila kitu..lete fact...and findings...kwa kuwa...every is open now..sio tu kwa uzushi huu
Shida ni kwamba hata ukiandika thread mia..ni zenye uzushi na uongo mwingi..huku ukitumia vionjo vya vitisho kwa wasomaji wako...kama vile ulivyofundwa kwa vitisho na mafundisho yako asilia...u are wasting ya time sir
Biblia mbona haikusema hivo...haikusema Yesu alimtokea Paulo hadi Paulo amuone mkubwa au mdogo..haikusema ila ilisema miale ya mwanga iliangaza toka mbinguni..haikutaja..ukubwa au umbo la Yesu..vile vile Yesu hakuwahi kuwa mkubwa wala mdogo..maana daima Alikuwa Mungu
Israel they never fail..never ever fail..they survived Egypt...survived Mesopotamia...survived Persia ...survived Romans...survived Hitler..who is Syria to scare them?..before you talk about their defeat remember who are they..where are they from..they are simply blessed and protected nation...
nadhani umechanganya kati ya roschild na rockerfeller...roschild...ndio matajiri zaidi..ndio wenye authority ya kuamua nani awe rais wa nchi gani..ni wao ndio walopanga vita kuu ya kwanza na ya pili ya dunia...plus wat goes by in the world..ni matajiri..kuliko hata taifa lote la marekani..plus...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.