Kilimo cha mtama: Uzalishaji na soko

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,035
49,713
Habari wadau.

Naomba kujuzwa kuhusu kilimo cha mtama kwa mwenye uzoefu jinsi ya ukulima au upandaji,uzalishaji kwa ekari,uhakika wa soko na changamoto zake.

Nimejaribu kupekua hapa na pale sioni habari zake kwa Tanzania na huku Tunduma hata sokoni hakuna anaeuza ingawa kwa Kenya na Ethiopia habari zake ni nyingi na pia inaonesha kuna soko tofauti na kwetu. Hata kwingineko duniani inaonekana ni kilimo kikubwa tofauti na bongo.

Natamani kulima kibiashara lakini soko lake vipi kwa hapa bongo?
 
Kuja rafiki yangu yupo bujumbura kapata tender ya 1000kgs za white sorghum anataka afanye importation kutoka TZ

Yeyote mwenye mtama mweupe anijuze nimuunge wakafanye biashara
 
Kuja rafiki yangu yupo bujumbura kapata tender ya 1000kgs za white sorghum anataka afanye importation kutoka TZ
Yeyote mwenye mtama mweupe anijuze nimuunge wakafanye biashara
Ngoja niwachek wadau but kama uko siriac nipe namba yake
 
Kuja rafiki yangu yupo bujumbura kapata tender ya 1000kgs za white sorghum anataka afanye importation kutoka TZ
Yeyote mwenye mtama mweupe anijuze nimuunge wakafanye biashara
Je mtama mwekundu soko lake liko wapi
Mm nimelima mtama tayar nimevuna magunia yakutosha sina soko
 
Kuja rafiki yangu yupo bujumbura kapata tender ya 1000kgs za white sorghum anataka afanye importation kutoka TZ
Yeyote mwenye mtama mweupe anijuze nimuunge wakafanye biashara
Upo serious boss mm nalima huu sn
 
Je mtama mwekundu soko lake liko wapi
Mm nimelima mtama tayar nimevuna magunia yakutosha sina soko
Afu huu mwekundu ndio una solo zaidi na mm nataka kulima mtama mwekundu,ww uko wapi na unao kiasi gani nikuunge na wanunuzi.
 
Mtama ni miongoni mwa mazao ambayo yanafaida kwa Mkulima lakini kitu cha kuzingatia inabidi ulime mtama ambao unasoko zuri kwasababu kuna aina nyingi za mtama

1 Mtama Mweupe ( huu ndio wa biashara)

2 Mtama Mwekundu ( achana nao kabisa )

3 Mtama rangi ya kaki ( kidogo una unafuu lakini hauna bei nzuri sokoni )

Kwa Mkoa wa Mbeya Biashara ya Mtama inasoko kubwa na miongoni mwa masoko hayo ni kama yafuatayo

1 Mbozi - Hiki ndio kama kitovu cha wanunuzi wa Mtama kwa wingi hapa unaweza kuuza hata tani zaidi ya 1000 kwa wakati mmoja

2 Mbalizi - Maeneo ya mbalizi soko la Mtama lipo sehemu mbili kwenye Ma Go down ambayo yapo zaidi ya 5 na sehemu nyingine ni soko kuu la mbalizi hapa napo kuna wateja wa Mtama lakini hasa hasa mtama mweupe

3 Uyole - Hapa napo mtama huwa unanunuliwa na kampuni moja kubwa inaitwa ALFA Group hawa huwa wananunua mtama kwa kiasi kikubwa sana

Kwaiyo ndugu kwa uchache kuusu masoko ya mtama kwa mkoa wa Mbeya ndiyo hayo kama unataka kujua zaidi unaweza ukauliza swali nitakusaidia kujibu

NB : Bei ya Mtama kwa mwaka Jana ilikuwa ipo vizuri ilikuwa around 400 - 550 kwa kilo lakini kwa mwaka huu sijafahamu upande wa Mbeya lakini kwa Mkoa wa Singida na Dodoma inacheza kwenye 250 - 380 bei ambayo inaumiza kichwa
 
Mtama ni miongoni mwa mazao ambayo yanafaida kwa Mkulima lakini kitu cha kuzingatia inabidi ulime mtama ambao unasoko zuri kwasababu kuna aina nyingi za mtama

1 Mtama Mweupe ( huu ndio wa biashara)

2 Mtama Mwekundu ( achana nao kabisa )

3 Mtama rangi ya kaki ( kidogo una unafuu lakini hauna bei nzuri sokoni )

Kwa Mkoa wa Mbeya Biashara ya Mtama inasoko kubwa na miongoni mwa masoko hayo ni kama yafuatayo

1 Mbozi - Hiki ndio kama kitovu cha wanunuzi wa Mtama kwa wingi hapa unaweza kuuza hata tani zaidi ya 1000 kwa wakati mmoja

2 Mbalizi - Maeneo ya mbalizi soko la Mtama lipo sehemu mbili kwenye Ma Go down ambayo yapo zaidi ya 5 na sehemu nyingine ni soko kuu la mbalizi hapa napo kuna wateja wa Mtama lakini hasa hasa mtama mweupe

3 Uyole - Hapa napo mtama huwa unanunuliwa na kampuni moja kubwa inaitwa ALFA Group hawa huwa wananunua mtama kwa kiasi kikubwa sana

Kwaiyo ndugu kwa uchache kuusu masoko ya mtama kwa mkoa wa Mbeya ndiyo hayo kama unataka kujua zaidi unaweza ukauliza swali nitakusaidia kujibu

NB : Bei ya Mtama kwa mwaka Jana ilikuwa ipo vizuri ilikuwa around 400 - 550 kwa kilo lakini kwa mwaka huu sijafahamu upande wa Mbeya lakini kwa Mkoa wa Singida na Dodoma inacheza kwenye 250 - 380 bei ambayo inaumiza kichwa
Thanks for your profound response bro nimepata mwanga maana niliona kwenye mitandao Kenya na ethiopia mtama una demand kubwa na wanalima sana
 
Thanks for your profound response bro nimepata mwanga maana niliona kwenye mitandao Kenya na ethiopia mtama una demand kubwa na wanalima sana
Ukitaka kuuza mtama Kenya kwanza tafuta Link na watu wa Arusha ndio huwa wanapeleka Kenya lakini mtama mwingi huwa unaenda Rwanda, Burundi masoko makubwa kama ya Singida na Dodoma huwa wanakusanya kupeleka Nchi hizo
 
Mtama ni miongoni mwa mazao ambayo yanafaida kwa Mkulima lakini kitu cha kuzingatia inabidi ulime mtama ambao unasoko zuri kwasababu kuna aina nyingi za mtama

1 Mtama Mweupe ( huu ndio wa biashara)

2 Mtama Mwekundu ( achana nao kabisa )

3 Mtama rangi ya kaki ( kidogo una unafuu lakini hauna bei nzuri sokoni )

Kwa Mkoa wa Mbeya Biashara ya Mtama inasoko kubwa na miongoni mwa masoko hayo ni kama yafuatayo

1 Mbozi - Hiki ndio kama kitovu cha wanunuzi wa Mtama kwa wingi hapa unaweza kuuza hata tani zaidi ya 1000 kwa wakati mmoja

2 Mbalizi - Maeneo ya mbalizi soko la Mtama lipo sehemu mbili kwenye Ma Go down ambayo yapo zaidi ya 5 na sehemu nyingine ni soko kuu la mbalizi hapa napo kuna wateja wa Mtama lakini hasa hasa mtama mweupe

3 Uyole - Hapa napo mtama huwa unanunuliwa na kampuni moja kubwa inaitwa ALFA Group hawa huwa wananunua mtama kwa kiasi kikubwa sana

Kwaiyo ndugu kwa uchache kuusu masoko ya mtama kwa mkoa wa Mbeya ndiyo hayo kama unataka kujua zaidi unaweza ukauliza swali nitakusaidia kujibu

NB : Bei ya Mtama kwa mwaka Jana ilikuwa ipo vizuri ilikuwa around 400 - 550 kwa kilo lakini kwa mwaka huu sijafahamu upande wa Mbeya lakini kwa Mkoa wa Singida na Dodoma inacheza kwenye 250 - 380 bei ambayo inaumiza kichwa
aisee sasa ivi sh ngapi ninao kibao kama tani 15 ivi....waweza nipatia connection
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom