Recent content by Mtulivu34

  1. M

    DOKEZO Sekreararieti ya ajira ni kichaka cha rushwa, Serikali iwe makini

    we pumbavu kweli unadhan me muoga kama wrwe
  2. M

    DOKEZO Sekreararieti ya ajira ni kichaka cha rushwa, Serikali iwe makini

    kwa iyo wewe hua unalia wakati umekalia ulichotaja
  3. M

    DOKEZO Sekreararieti ya ajira ni kichaka cha rushwa, Serikali iwe makini

    Tuliajiriwa watu 4 wilaya moja ambayo ni kijijini mno watatu walikuwa ni wanawake Ajabu ni kwamba hakuna aliyeripoti kwenye wilaya tuliyopangiwa zaidi yangu Cha kushangaza wote majina yao yakatokea kwenye list nyingine iliyotoka siku mbili mbele wote wamebadilishwa mkoa wawili wameajiriwa Dar...
  4. M

    Life is truly a Numbers Game/ Maisha kiukweli ni mchezo wa namba

    maisha ni hadithi ndefu ya namna utakavyo kufa kwa sababu mwisho wa misha ya kila mtu ni kifo. this life is just fcking meaningless
  5. M

    Pongezi kwenu Single Mothers

    mimi single mother nitamuoa kama anakidhi hivi vigezo mrefu,awe na kazi ya kueleweka awe na mshahara minimum 2.5m salary
  6. M

    Rais wa Burkina Faso Capt Ibrahimu Traore anatarajiwa kuja Tanzania January, 2025. Je, atatingisha jukwaa kama alivyofanya nchini Ghana?

    mnasifia ujinga mixer kulamba matako ya viongoz wa ccm ili mpate teuzi. wanaume kama nyie ni hasara tz
  7. M

    Picha usaili kada ya elimu zinafikirisha sana

    picha zinaoneka wasailiwa wamelala Usaili unaendelea lakini hali sio nzuri wanaumia zaid ni wale waliomaliza miaka ya nyuma . Any way tusubiri ripoti ya waziri. Soma Pia: Waombaji ajira za Ualimu waitwa Usaili
  8. M

    Sweden imetenga Euro 109 milioni ili kurudisha matumizi ya vitabu shuleni

    swedeni na Norway pesa kwao sio shida hizo uero 109m ni chache ni inchi ambazo hakuna tajiri wala maskini vipato vyao vipo saw no gape
  9. M

    usaili kada ya elimu somo LA mathematics umenishangaza

    kilichotikea leo ni moja ya usaili katili sana kuwahi kushuhudia nimefanya interview shule nyingi za private lakini kwa huu nmenyoosha mikono. kwa walimu ambao bado hamjasailiwa mjipange kule sio kuzuri kabsa .
  10. M

    Mambo ya kuzingatia unapokunywa pombe na Malaya mwaka 2025

    nachpenda ni kwamba kwa Tanzania ile generation cha pombe ndo inaelekea uzeen kizazi cha walevi ni millennials wa 1989 rudi nyuma vijana wa 1990+ wengi wapo smart no pombe no ulevi
  11. M

    21.01.2025 CHADEMA kufa au kupona

    wananchi wapi hao CCM imashinda serikali za mtaa kwa asilimia 99% Tanzania hakuna upinzani
  12. M

    Zile Ajira za ualimu zilizoimbwa tangu February zipo wapi mamlaka tokeni hadharan mseme

    Mamlaka tokeni hadharan mseme Kuna Nini kinaendelea . Mlisitisha usaili bila taarifa Mashule yanaelekea jufunguliwa shule nyingi za private zinataka walimu kwa mikataba japo wanalipa Kidogo. . Walimu wanabaki njia panda wasaini mikataba ya mishahara jkidogo au wasubiri Ajira za serikalini ...
Back
Top Bottom