Sweden imetenga Euro 109 milioni ili kurudisha matumizi ya vitabu shuleni

def_xcode

JF-Expert Member
Jul 25, 2023
1,337
3,700
Mwaka 2009, Sweden ilichagua kuondoa matumizi ya vitabu na badala yake kutumai computer shuleni. Sasa baada ya miaka 15, imeamua kutenga kiasi cha euro milioni 109 ili kurudisha matumizi ya vitabu shuleni.

Wamegundua kuwa matumizi ya computer kama mbadala wa vitabu unawacosha wa toto na kuondoa ubunifu hivyo wameamua kurejesha matumizi ya vitabu vilivyochapishwa darasani.

Wanadai vifaa vya kidijitali kuna wakati vinawafanya wanafunzi wapoteze uwezo wa kuzingatia badala ya kusoma wanachotakiwa wanahamia kwenye michezo na vitu vingine.
 
Habari nzuri kama hii ukiiunganisha na chanzo chake inakaa poa sana
 
Mwaka 2009, Sweden ilichagua kuondoa matumizi ya vitabu na badala yake kutumai computer shuleni. Sasa baada ya miaka 15, imeamua kutenga kiasi cha euro milioni 109 ili kurudisha matumizi ya vitabu shuleni.

Wamegundua kuwa matumizi ya computer kama mbadala wa vitabu unawacosha wa toto na kuondoa ubunifu hivyo wameamua kurejesha matumizi ya vitabu vilivyochapishwa darasani.

Wanadai vifaa vya kidijitali kuna wakati vinawafanya wanafunzi wapoteze uwezo wa kuzingatia badala ya kusoma wanachotakiwa wanahamia kwenye michezo na vitu vingine.
Walichelewa sana kulijua hili
 
Back
Top Bottom