Recent content by mtubika

  1. mtubika

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Pole sana! Ila mwamba ukizinguliwa si unahama Kampuni, make una hela yako bet kwingine na makampuni kibao. Labda kama una Hisa apo sawa![emoji188][emoji188]
  2. mtubika

    Mwaka 2004 ndani ya SCANIA mayai

    Hili la wahuni kukuchapia labda uwe ni wa Transit, lakini local unawahi kurudi maana miundo mbinu ishakuwa Safi. Sema enzi hizo za kuja kupita Sekenke mpaka utulize kwanza Shelui au Misigiri siku mbili unaomba sala zote. Na kuchapiwa labda shemeji kama si mvumilivu hata kama upo watachapa tu...
  3. mtubika

    Unailindaje TV yako kutoka kwenye uharibifu wa watoto wadogo?

    Ni kuwaeleza, kuwaelekeza na kuwakanya vizuri. Wape elimu juu ya Mali za familia kwa upole na waeleze hasara kuwa ni mbaya. Wakiwa wakahidi pitisha kiboka kama mzazi siyo mpita njia; na usionyeshe Upendo saana kwa Watoto kupita kiasi maana hapo unajenga kitu kinaitwa DEKO. Matokeo au faida ya...
  4. mtubika

    Taarifa ya ajali: Mwana JF mwenzetu Ushimen kapata ajali mbaya na sasa yuko Muhimbili hospital

    Duuh pole sana mwana familia mwenzetu! Na MUNGU [emoji1431] ampe wepesi apone na ampunguzie maumivu. Tunamuombea yuko pamoja naye aliyemuumba[emoji1431][emoji1431].
  5. mtubika

    Shujaa Majaliwa ajira yake, elimu yake inakidhi vigezo vya Serikali?

    Lolote linawezekana anaweza kuwa kwenye ajira na huku anasoma ni kitu kinachofahamika popote duniani, vilevile imeongelewa kuwa anaenda kupewa ujuzi wa kinadhalia na matendo yawezekana hata level ya elimu yake ikapanda na zaidi tushaambiwa kuwa tayari kaishapokelewa. Isitoshe tambua kuwa ajira...
  6. mtubika

    Viwango vilivyopendekezwa na Serikali, Bima ya Afya kwa Wote

    Hivi unajua gharama za kuingiza madawa nchini na kuyasambaza kwenye mahospital na vituo vya afya?. Na una takwimu ya viwanda vingapi vya kutengeneza madawa ya binadamu nchini mwetu?. Sahau hilo na hakuna kitu kama hivyo istoshe kwa gharama hizo kuhusu bima serikali imejitahidi, swali ni kwamba...
  7. mtubika

    Marekani: Urusi ikitumia Nyuklia tutaingilia kati moja kwa moja

    Shibe ya Amani Kaka hiyo ndo imewatawala, upumbavu mtupu. Vimezaliwa kwenye Amani vimekulia kwenye Amani havijawahi kuonja joto ya vita wala baa la njaa hivyo vinaona Dunia vimeimiliki ujinga mtupu.
  8. mtubika

    Kenya2022 Urais wa Ruto kupingwa tena Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ)

    Acheni kumsumbua Mzee Ruto. Msimpotezee mda wa kuwatumikia wananchi. Imekwishaa hiyo
  9. mtubika

    Hassan Mwakinyo apoteza kwa T.K.O dhidi ya Liam Smith | M&S Bank Arena | Liverpool

    Eee bwana mkuu mi mwenyewe baada ya kuona pambano limeisha ilinichukua si chini ya dk 10 kama si 15 kuyawaza hayo. Kulikoni jamaa mwanzo alionekana anammudu mshikaji lkn ghafla alianza kubadilika kana kwamba amemwagiwa upupu. Kiujumla mwenzentu ameonyesha udhaifu mkubwa mnoo kama umeibiwa begi...
  10. mtubika

    Hassan Mwakinyo apoteza kwa T.K.O dhidi ya Liam Smith | M&S Bank Arena | Liverpool

    Pole MWAKINYO hao ndo Wazungu wana mbinu nyingi za ushindi, kitendo cha kupoteza vifaa vyako ulikuwa ushaingia mkenge na yawezekana si kwa bahati mbaya. Na kweli round za mwanzo ulikuwa umemuimili mpinzani wako na ulionekana kweli unahangaika na kiatu round ya pili. Tunazidi kukuombea mwanaume...
  11. mtubika

    Teknolojia: Niger kuanza kutengeneza mvua kukabiliana na ukame

    Hizo kemikali zinazonyunyiziwa kuna usalama kweli? Au ndo sumu kabisa kwa madhara ya baadae. Kitu asili ni asili bhana, acha MUNGU aitwe MUNGU kazeni maombi.
  12. mtubika

    Amuua Baba yake Mzazi baada ya kukatazwa kufanya mapenzi ili asimbemende mtoto

    Siyo baba kuwa mnufaika yeye alishauri kaa mzazi, lkn dogo naye akaona ameingiliwa kwenye imaya yake. Sema maamuz alochukua ni kuchuma dhambi na kujipaka mateso akiwa hai duniani. Tuwaheshimu wazazi
  13. mtubika

    Msaada: Nina tatizo la kuchelewa kupiga bao

    Haaa![emoji15] Na nyie uwa mnapiga nini! Haiwaathiri??
  14. mtubika

    Msamaha wa Madeni: China yashutumiwa kwa Mikopo ya Mitego kwa Nchi za Afrika

    Yawezekana maana tunaona ndiyo nchi inayopendelea kushikilia baadhi ya rasimali za nchi husika katika mataifa ya Afrika, kisa mikopo.
Back
Top Bottom