Recent content by MTU MKUU

  1. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mbona Rais Samia anahutubia wafuasi wake akiwa anahema sana, yuko sawa kiafya kweli?

    🐀 Kuna kitu Anakitafuta 😂 🏃
  2. M

    JamiiForums Tanzania Pamoja na tofauti za kisiasa: Rostam Aziz ni mfanyabiashara mzuri!

    Umeongea vizuri sana. Kila mtu Ana mazuri yake na madhaifu yake pia. Hata kibaka Anaweza kuokoka pia. Akawa mtu Mzuri. Kimsingi Taifa lina wahitaji wa wekezaji. Tatizo lina kuja ni pale serikali inapokua haina umakini kwenye kusimamia wa wekezaji. Mfanyabiashara siku zote ujiangalia yeye...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Hekaya za Polepole vyaanza kudoda

    Pole pole Anaeleweka sana Ndugu. Watanzania wa sasa ni watu makini sana kakaa. Ccm itaondolewa na Wana ccm wenyewe kaa kwa kutulia Mjomba.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Polepole apuuzwe kuhusu gesi

    Wewe ni Mpumbavu sana. Mimi ni Mwana ccm na ccm ni chama cha kijamaa. Sasa jiuliza ile itikadi ya kijamaa imeenda wapi? Ccm ilianza kuharibuwa na Mzee Mwinyi pale ndipo magenge ya Wahuni yalipoanza kujitengeneza. Chama kimetekwa na Mabwanyenye Ambaya ndio yana tunga sera za kibepari na...
  5. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole: Agosti 29, 2025 nitafafanua mambo kuhusu Kifo cha Magufuli; Rostam na Kikwete, Kashfa mbalimbali, deni la Taifa na wezi wanakoficha pesa

    Tulia usiwe na haraka kila kitu kitakua wazi kamanda. Lakini kama Kuna Mkono wa mtu kwenye kifo cha kipenzi chetu Magufuli Kila Aliye husika Atafikiwatu.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

    Nimepita lakini nimegundua kwamba ni kweli uislam na majini Kuna kaundugu. Kipindi flani niliwai kumsikia bwana Moja Alikua kiongozi mkubwatu wa Dini ya kislam. Alisema uislam na majini ni ndugu. Na Akaenda mbali sana kwamba waislam wamezungukwa na Majini. Mimi siku mwelewa lakini kwa...
  7. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia kawa wakwanza kurudisha fomu INEC

    Mimi nadhani kale ka hoja ka pole pole Viongozi washtakiwe na wafungwe. Hivi Kuna haja gani Kuingia kwenye Uchaguzi kuteketeza mabilioni ya walipa Kodi wakati Ushindi umesha upata? Kwenda kwenye Uchaguzi wakati una Matokeo mfukoni Uo ni uhaini kabisa. Sisi Watanzania hatuna shida hata...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Benki ya dunia yawatukana mamilioni ya watanzania

    Benk ya Dunia imesema Ukweli kabisa. Maana baba, mama, na watoto wa 2 elf 10 kwa Chakula siku yaani chai, Chakula cha mchana na usiku elf 10 haitoshi ndio maana baadhi ya wanaume wanatelekeza familia zao. Hapa yaipasa serikali ijitafakari sana hasa eneo la uchumi.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Napenda kumwandika papa Leo alifute kanisa katoliki Tanzania mana limekuwa la kisiasa zaizi limepteza focus.

    Stay tuned. Pole pole Amesema Atawataja na nyumba mlizolipiwa mkae kwa lengo la Kufifisha hoja za wazalendo waliobaki nchi hii.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kanisa Katoliki kutoa waraka utakaotetemesha nchi

    Kanisa ndio jawabu la kila kitu. Kama kanisa likinya Maza na mambo yanaenda ndivyo sivyo hata Mungu Atatushangaa. Hakuna kiongozi yeyeto wa kisiasa Aliye juu ya watumishi wa Mungu. Nilazima kama kiongozi na Mwenye hofu ya Mungu huwezi kuwadharahu watumishi wa Mungu kama Una Nguvu Nyingine...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Maaskofu na Watumishi wa Mungu acheni kuhubiri siasa kwenye nyumba za Mungu mnajitesa bure pia mnatupotezea muda wetu Bora tungekaa nyumbani tu

    Ni Mpumbavutu. Atasema viongozi wa Dini wasiongelee siasa madhabahuni. Siasa ni Maisha ya kila mwanadamu. Huwezi kumtenganisha mtu na siasa. Siasa ndio ina Amua Maisha ya Mtu yaweje sasa utamzuiaje Mtumishi wa Mungu asiongelee siasa wakati siasa mbovu uharibu watu? Mwalimu Alisema hatuwezi...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Anachokifanya polepole ni kuvivua nguo vyombo vya ulinzi na usalama TZ siyo CÇM hata Raisi hayupo salama chini ya wanamtandao.

    Mimi namshukuru Mungu Nilibahatika Kuona na kushuhudia utendaji wa serikali awamu ya kwanza mpaka ya sasa. Kwa kweli kiutendaji na Uwajibikaji ni Awamu mbili tu ndio zilijitolea na kuwajibika kwa dhati kabisa na Uzalendo mkubwa. Ni Awamu ya Kwanza na Awamu ya Tano. Kwa kweli Kama Viongozi...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu: Maombi ya kujionesha, hata kama ni ya siku tisa (Novena), Mungu hayasikii

    Shida ni Nini? Au lile Neno Haki Ndio hamtaki kulisikia? Mbona Yale Mengine yanayo tangazwaga ya Kugombea Amani Mnayafuraia? Yawapasa mjue Haki ni Mama wa Amani. Pia kanisa katoliki ni Taasisi hivyo Kutoa muongozo kwa Majimbo yake ni sahihi kabisa. Tulienitu Novena Inaendelea.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Nyerere aliona mbali, alimsisitizia sana Mkapa ili JK asiwe Rais wa Tanzania, na Mkapa alipokumbushwa akajibu kila mtu ana makosa

    Nadhani komredi Pole pole Atatueleza Mengi sana tuliyokua hatuyajui. Ngoja Novena ya siku 9 Ianze kukolea itafumua mambo Mengi sana. Kila kitu kitakua wazi. Tuendelee kuomba.
  15. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole: CCM wanakwenda kwenye Uchaguzi sababu wana uhakika kushinda kwakuwa kuna mifumo inawabeba

    Kuna vitu Havi hitaji hata Kuitumia Nguvu kujua. Jibuni hoja za pole pole. Hivi pale kwenye tume inayoitwa Huru wale makada wa ccm Ambao ni makamishna wa tume wanafanya Nini? Sasa wewe una mkabidhi paka Akulindie Safuria la samaki Utegemee Atakuwa Mwadilifu? Yaani Mzee Mapuri Aone ccm...
Back
Top Bottom