Udhaifu wa chadema ni kutokudhibiti nidhamu ya Wanachama.
Hauwezi kuwa chama kikubwa bila kujenga nidhamu ndani ya chama.
Ndani ya chama hajulikani nani msemaji wa chama kila mtu kambale.
Hakuna nidhamu ya kuongea na kuwa na mipaka baina ya viongozi na Wanachama.
Leo kadagaa kanaweza...
Atasingiziwaje Mkuu wakati wote anaishi nao chumba kimoja?
Jamaa ni mtaaluma Usiku kucha ana pepeatu Aisee mtume aliwamilikisha pepo yao kabisa Hawa jamaa. 🤭
Aisee yule ustadhi ni mtu na Nusu Make 3 watoto 17 Alafu wamefululiza rika jamaa Anapeleka moto Hatari.
Waislam mko vizuri Aisee kwenye ibada ya Tendo mmetimiza nguzo ya Dini kabisa yaani una lala na bibi 3 unageuka uku na uko ni kupeleka moto kwa kwenda mbele 😂
Wana chadema msifuraie Hawa mabwana kuletwa mahakamani.
Hii kesi iko kimkakati sana. Hawa ndio wanakwenda kupigilia msumari kwenye kesi hii.
Ushahudi wao itakua na uzito Mkubwa na ndio itakua hukumu ya bwana Lisu.
Ndio maana katiba mpya inatakiwa ili mihimili iwe huru.
Naililia Tanzania Yangu sisi hatuna nchi ya kukimbilia na haya magenge ya kukamata watu bila kufuata utaratibu na tumai joka ulifugalo IPO siku litakutafunatu.
Serikali ingeachana na haya mambo ya matume. Maisha mengine yaendelee.
Watu Wana maumivu sana wamepoteza wapendwa wao. Alafu mnakuja kuwa hoji hoji tena ni kufukua makaburitu.
Mimi ningekua karibu na Bimkubwa ningemwambia Apotezeetu Maisha mengine yaendelee.
Nitasema Ukweli Daima fitina Kwangu Mwiko" ahadi ya mwana chama cha mapinduzi.
Japo siku hizi kama imesalitiwa vile! Hawataki tena hii kauli mbiu imebaki kwa kina Mzee wariobatu.
Japo ni chungu lakini ni dawa nzuri sana kama wataitumia itakiponya chama ni dawa nzuri sana.
Siwalimtoa kwenye MRADI wake. Yule jamaa Alikula sana pesa za chama. Hata wale COVID-19 walikua MRADI wake. Halima mdee Atakua Anajua mchongo wa wao kwenda bungeni.
Nimekuelewa sana. Japo unaweza ukawa hujui mambo Mengi kuusu Yesu.
Bwana YESU Ndiye mwanzilishi wa Kimfunua Mwanadamu kwamba yeye sio Miwili Bali ni Roho inayo ishi ndani ya Mwili.
Japo dini imetuvuruga sana na kututoa kwenye uhalisia wa Asili ya Uhungu Aliotufunilia Yesu.
Yesu Ndiye...
Kweli kabisa dkt Mshana. Ccm hawawezi mruhusu jamaa kufungua kinywa maana wamejifunza kwa komredi Pole pole.
Sasa wewe pole pole Alijua Siri nyingi za chama sembuse makamo wa Rais huyu ndio mtambo wa Siri zingatia Alikua katibu wa chama yaani Mtendaji Mkuu wa chama Anakijua nje ndani na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.