Pale Simba Kuna kakikundi cha wahuni Kanacho shirikiana na Yanga Kuivuruga Timu yetu.
Hii miaka 5 kilichoipa yanga Ubingwa ni Wahuni wa ndani ya Simba. Wanao ihujumu Timu.
Tatizo lonalo tutesa Simba ni Misifa ya GSM. Yule Bwana Garbu saidi Mohamed na mwenzake injinia ni misifatu.
Sio kwamba Wana hela kama Bwana mo ila boss wetu Ni mbaili sana ndio kinacho tuangusha Simba ubahili wa mo.
Kule utopoloni tajiri wao ni Mr Misifa.
Tulipoteza Baba. Yule hakuwa kiongozi tu. Yule Alikua baba mwenye mamlaka na mlinzi wa boma lake.
Sasa hivi kila mtu anajifanyia anavyotaka. Hatujui mradi wa bwawa la nyerere Umeme wake unaenda wapi kila siku ni Umeme hakuna tuna pigwa mamenotu na tanesko.
Haya ni Matunda ya malezi mabovu kutoka kwa wazazi.
Watoto kulelewa kama Mayai tumetengeneza kizazi cha kishetani kabisa.
Hapo hapa kuwa na sherehe Bali Binti Alikua na kasafari cha kuonana na boyfriend.
Tusipo angalia na kuchukua hatuta tutatengeneza kizazi kibaya kuliko hata sodoma nagomora.
Umeongea vizuri sana. Kila mtu Ana mazuri yake na madhaifu yake pia.
Hata kibaka Anaweza kuokoka pia. Akawa mtu Mzuri.
Kimsingi Taifa lina wahitaji wa wekezaji.
Tatizo lina kuja ni pale serikali inapokua haina umakini kwenye kusimamia wa wekezaji.
Mfanyabiashara siku zote ujiangalia yeye...
Wewe ni Mpumbavu sana. Mimi ni Mwana ccm na ccm ni chama cha kijamaa.
Sasa jiuliza ile itikadi ya kijamaa imeenda wapi?
Ccm ilianza kuharibuwa na Mzee Mwinyi pale ndipo magenge ya Wahuni yalipoanza kujitengeneza.
Chama kimetekwa na Mabwanyenye Ambaya ndio yana tunga sera za kibepari na...
Tulia usiwe na haraka kila kitu kitakua wazi kamanda.
Lakini kama Kuna Mkono wa mtu kwenye kifo cha kipenzi chetu Magufuli Kila Aliye husika Atafikiwatu.
Nimepita lakini nimegundua kwamba ni kweli uislam na majini Kuna kaundugu.
Kipindi flani niliwai kumsikia bwana Moja Alikua kiongozi mkubwatu wa Dini ya kislam.
Alisema uislam na majini ni ndugu. Na Akaenda mbali sana kwamba waislam wamezungukwa na Majini.
Mimi siku mwelewa lakini kwa...
Mimi nadhani kale ka hoja ka pole pole Viongozi washtakiwe na wafungwe.
Hivi Kuna haja gani Kuingia kwenye Uchaguzi kuteketeza mabilioni ya walipa Kodi wakati Ushindi umesha upata?
Kwenda kwenye Uchaguzi wakati una Matokeo mfukoni Uo ni uhaini kabisa.
Sisi Watanzania hatuna shida hata...
Benk ya Dunia imesema Ukweli kabisa. Maana baba, mama, na watoto wa 2 elf 10 kwa Chakula siku yaani chai, Chakula cha mchana na usiku elf 10 haitoshi ndio maana baadhi ya wanaume wanatelekeza familia zao.
Hapa yaipasa serikali ijitafakari sana hasa eneo la uchumi.
Kanisa ndio jawabu la kila kitu. Kama kanisa likinya
Maza na mambo yanaenda ndivyo sivyo hata Mungu Atatushangaa.
Hakuna kiongozi yeyeto wa kisiasa Aliye juu ya watumishi wa Mungu.
Nilazima kama kiongozi na Mwenye hofu ya Mungu huwezi kuwadharahu watumishi wa Mungu kama Una Nguvu Nyingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.