Recent content by MTU MKUU

  1. M

    JamiiForums Tanzania Try Again arejeshwa Simba, aunda Baraza jipya la Wadhamini lililopitishwa na Wanachama Bunju

    Pale Simba Kuna kakikundi cha wahuni Kanacho shirikiana na Yanga Kuivuruga Timu yetu. Hii miaka 5 kilichoipa yanga Ubingwa ni Wahuni wa ndani ya Simba. Wanao ihujumu Timu.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Tajiri Mo itisha kikao cha Ukoo utuletee Mayele na Feitoto

    Tatizo lonalo tutesa Simba ni Misifa ya GSM. Yule Bwana Garbu saidi Mohamed na mwenzake injinia ni misifatu. Sio kwamba Wana hela kama Bwana mo ila boss wetu Ni mbaili sana ndio kinacho tuangusha Simba ubahili wa mo. Kule utopoloni tajiri wao ni Mr Misifa.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Hayati Magufuli aliwezaje kutatua changamoto ya umeme nchini?

    Tulipoteza Baba. Yule hakuwa kiongozi tu. Yule Alikua baba mwenye mamlaka na mlinzi wa boma lake. Sasa hivi kila mtu anajifanyia anavyotaka. Hatujui mradi wa bwawa la nyerere Umeme wake unaenda wapi kila siku ni Umeme hakuna tuna pigwa mamenotu na tanesko.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Binti mwenye miaka 16 amuua mama yake mzazi kisa kuzuiliwa kwenda kwenye birthday party

    Haya ni Matunda ya malezi mabovu kutoka kwa wazazi. Watoto kulelewa kama Mayai tumetengeneza kizazi cha kishetani kabisa. Hapo hapa kuwa na sherehe Bali Binti Alikua na kasafari cha kuonana na boyfriend. Tusipo angalia na kuchukua hatuta tutatengeneza kizazi kibaya kuliko hata sodoma nagomora.
  5. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mbona Rais Samia anahutubia wafuasi wake akiwa anahema sana, yuko sawa kiafya kweli?

    🐀 Kuna kitu Anakitafuta 😂 🏃
  6. M

    JamiiForums Tanzania Pamoja na tofauti za kisiasa: Rostam Aziz ni mfanyabiashara mzuri!

    Umeongea vizuri sana. Kila mtu Ana mazuri yake na madhaifu yake pia. Hata kibaka Anaweza kuokoka pia. Akawa mtu Mzuri. Kimsingi Taifa lina wahitaji wa wekezaji. Tatizo lina kuja ni pale serikali inapokua haina umakini kwenye kusimamia wa wekezaji. Mfanyabiashara siku zote ujiangalia yeye...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Hekaya za Polepole vyaanza kudoda

    Pole pole Anaeleweka sana Ndugu. Watanzania wa sasa ni watu makini sana kakaa. Ccm itaondolewa na Wana ccm wenyewe kaa kwa kutulia Mjomba.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Polepole apuuzwe kuhusu gesi

    Wewe ni Mpumbavu sana. Mimi ni Mwana ccm na ccm ni chama cha kijamaa. Sasa jiuliza ile itikadi ya kijamaa imeenda wapi? Ccm ilianza kuharibuwa na Mzee Mwinyi pale ndipo magenge ya Wahuni yalipoanza kujitengeneza. Chama kimetekwa na Mabwanyenye Ambaya ndio yana tunga sera za kibepari na...
  9. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole: Agosti 29, 2025 nitafafanua mambo kuhusu Kifo cha Magufuli; Rostam na Kikwete, Kashfa mbalimbali, deni la Taifa na wezi wanakoficha pesa

    Tulia usiwe na haraka kila kitu kitakua wazi kamanda. Lakini kama Kuna Mkono wa mtu kwenye kifo cha kipenzi chetu Magufuli Kila Aliye husika Atafikiwatu.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

    Nimepita lakini nimegundua kwamba ni kweli uislam na majini Kuna kaundugu. Kipindi flani niliwai kumsikia bwana Moja Alikua kiongozi mkubwatu wa Dini ya kislam. Alisema uislam na majini ni ndugu. Na Akaenda mbali sana kwamba waislam wamezungukwa na Majini. Mimi siku mwelewa lakini kwa...
  11. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia kawa wakwanza kurudisha fomu INEC

    Mimi nadhani kale ka hoja ka pole pole Viongozi washtakiwe na wafungwe. Hivi Kuna haja gani Kuingia kwenye Uchaguzi kuteketeza mabilioni ya walipa Kodi wakati Ushindi umesha upata? Kwenda kwenye Uchaguzi wakati una Matokeo mfukoni Uo ni uhaini kabisa. Sisi Watanzania hatuna shida hata...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Benki ya dunia yawatukana mamilioni ya watanzania

    Benk ya Dunia imesema Ukweli kabisa. Maana baba, mama, na watoto wa 2 elf 10 kwa Chakula siku yaani chai, Chakula cha mchana na usiku elf 10 haitoshi ndio maana baadhi ya wanaume wanatelekeza familia zao. Hapa yaipasa serikali ijitafakari sana hasa eneo la uchumi.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Napenda kumwandika papa Leo alifute kanisa katoliki Tanzania mana limekuwa la kisiasa zaizi limepteza focus.

    Stay tuned. Pole pole Amesema Atawataja na nyumba mlizolipiwa mkae kwa lengo la Kufifisha hoja za wazalendo waliobaki nchi hii.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kanisa Katoliki kutoa waraka utakaotetemesha nchi

    Kanisa ndio jawabu la kila kitu. Kama kanisa likinya Maza na mambo yanaenda ndivyo sivyo hata Mungu Atatushangaa. Hakuna kiongozi yeyeto wa kisiasa Aliye juu ya watumishi wa Mungu. Nilazima kama kiongozi na Mwenye hofu ya Mungu huwezi kuwadharahu watumishi wa Mungu kama Una Nguvu Nyingine...
Back
Top Bottom