Umeongea vizuri sana. Kila mtu Ana mazuri yake na madhaifu yake pia.
Hata kibaka Anaweza kuokoka pia. Akawa mtu Mzuri.
Kimsingi Taifa lina wahitaji wa wekezaji.
Tatizo lina kuja ni pale serikali inapokua haina umakini kwenye kusimamia wa wekezaji.
Mfanyabiashara siku zote ujiangalia yeye...
Wewe ni Mpumbavu sana. Mimi ni Mwana ccm na ccm ni chama cha kijamaa.
Sasa jiuliza ile itikadi ya kijamaa imeenda wapi?
Ccm ilianza kuharibuwa na Mzee Mwinyi pale ndipo magenge ya Wahuni yalipoanza kujitengeneza.
Chama kimetekwa na Mabwanyenye Ambaya ndio yana tunga sera za kibepari na...
Tulia usiwe na haraka kila kitu kitakua wazi kamanda.
Lakini kama Kuna Mkono wa mtu kwenye kifo cha kipenzi chetu Magufuli Kila Aliye husika Atafikiwatu.
Nimepita lakini nimegundua kwamba ni kweli uislam na majini Kuna kaundugu.
Kipindi flani niliwai kumsikia bwana Moja Alikua kiongozi mkubwatu wa Dini ya kislam.
Alisema uislam na majini ni ndugu. Na Akaenda mbali sana kwamba waislam wamezungukwa na Majini.
Mimi siku mwelewa lakini kwa...
Mimi nadhani kale ka hoja ka pole pole Viongozi washtakiwe na wafungwe.
Hivi Kuna haja gani Kuingia kwenye Uchaguzi kuteketeza mabilioni ya walipa Kodi wakati Ushindi umesha upata?
Kwenda kwenye Uchaguzi wakati una Matokeo mfukoni Uo ni uhaini kabisa.
Sisi Watanzania hatuna shida hata...
Benk ya Dunia imesema Ukweli kabisa. Maana baba, mama, na watoto wa 2 elf 10 kwa Chakula siku yaani chai, Chakula cha mchana na usiku elf 10 haitoshi ndio maana baadhi ya wanaume wanatelekeza familia zao.
Hapa yaipasa serikali ijitafakari sana hasa eneo la uchumi.
Kanisa ndio jawabu la kila kitu. Kama kanisa likinya
Maza na mambo yanaenda ndivyo sivyo hata Mungu Atatushangaa.
Hakuna kiongozi yeyeto wa kisiasa Aliye juu ya watumishi wa Mungu.
Nilazima kama kiongozi na Mwenye hofu ya Mungu huwezi kuwadharahu watumishi wa Mungu kama Una Nguvu Nyingine...
Ni Mpumbavutu. Atasema viongozi wa Dini wasiongelee siasa madhabahuni.
Siasa ni Maisha ya kila mwanadamu. Huwezi kumtenganisha mtu na siasa.
Siasa ndio ina Amua Maisha ya Mtu yaweje sasa utamzuiaje Mtumishi wa Mungu asiongelee siasa wakati siasa mbovu uharibu watu?
Mwalimu Alisema hatuwezi...
Mimi namshukuru Mungu Nilibahatika Kuona na kushuhudia utendaji wa serikali awamu ya kwanza mpaka ya sasa.
Kwa kweli kiutendaji na Uwajibikaji ni Awamu mbili tu ndio zilijitolea na kuwajibika kwa dhati kabisa na Uzalendo mkubwa. Ni Awamu ya Kwanza na Awamu ya Tano.
Kwa kweli Kama Viongozi...
Shida ni Nini? Au lile Neno Haki Ndio hamtaki kulisikia?
Mbona Yale Mengine yanayo tangazwaga ya Kugombea Amani Mnayafuraia?
Yawapasa mjue Haki ni Mama wa Amani. Pia kanisa katoliki ni Taasisi hivyo Kutoa muongozo kwa Majimbo yake ni sahihi kabisa.
Tulienitu Novena Inaendelea.
Nadhani komredi Pole pole Atatueleza Mengi sana tuliyokua hatuyajui.
Ngoja Novena ya siku 9 Ianze kukolea itafumua mambo Mengi sana.
Kila kitu kitakua wazi. Tuendelee kuomba.
Kuna vitu Havi hitaji hata Kuitumia Nguvu kujua. Jibuni hoja za pole pole.
Hivi pale kwenye tume inayoitwa Huru wale makada wa ccm Ambao ni makamishna wa tume wanafanya Nini?
Sasa wewe una mkabidhi paka Akulindie Safuria la samaki Utegemee Atakuwa Mwadilifu?
Yaani Mzee Mapuri Aone ccm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.