Recent content by MTU MKUU

  1. M

    JamiiForums Tanzania MADA: Uchambuzi: Sakata la Godbless Lema na Onyo kwa CHADEMA Kuhusu Mtego wa "Siasa za Kutenganishwa," Wanaharakati Mamluki, na Mateka wa Kifedha

    Udhaifu wa chadema ni kutokudhibiti nidhamu ya Wanachama. Hauwezi kuwa chama kikubwa bila kujenga nidhamu ndani ya chama. Ndani ya chama hajulikani nani msemaji wa chama kila mtu kambale. Hakuna nidhamu ya kuongea na kuwa na mipaka baina ya viongozi na Wanachama. Leo kadagaa kanaweza...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Ado Shaibu: Yuko wapi aliyekuwa Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi?

    Labda Ataonekana kizimkazi Akienda Kutoa pole kwa MH Rais.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Tabora: Baba wa watoto 17 atoweka kwa siku 10 kusikojulikana

    Atasingiziwaje Mkuu wakati wote anaishi nao chumba kimoja? Jamaa ni mtaaluma Usiku kucha ana pepeatu Aisee mtume aliwamilikisha pepo yao kabisa Hawa jamaa. 🤭
  4. M

    JamiiForums Tanzania Tabora: Baba wa watoto 17 atoweka kwa siku 10 kusikojulikana

    Aisee yule ustadhi ni mtu na Nusu Make 3 watoto 17 Alafu wamefululiza rika jamaa Anapeleka moto Hatari. Waislam mko vizuri Aisee kwenye ibada ya Tendo mmetimiza nguzo ya Dini kabisa yaani una lala na bibi 3 unageuka uku na uko ni kupeleka moto kwa kwenda mbele 😂
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mzee wakubadili gia angani

    Jamaa Aruditu sasa ccm Atulie amalizie uzee wake.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Huu ndio Uamuzi wa mahakama wa aidha Rais Samia, Philip Mpango (VP mstaafu) na Kassimu Majaliwa (PM mstaafu) waitwe kumtetea Lissu au la..

    Wana chadema msifuraie Hawa mabwana kuletwa mahakamani. Hii kesi iko kimkakati sana. Hawa ndio wanakwenda kupigilia msumari kwenye kesi hii. Ushahudi wao itakua na uzito Mkubwa na ndio itakua hukumu ya bwana Lisu. Ndio maana katiba mpya inatakiwa ili mihimili iwe huru.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Prof. Tibaijuka: Mimi ni mtu wa CCM nasikia Vijana wananishughulikia

    Kwani chama changu kimeacha misingi ya kusema kweli daima na fitina kwetu mwiko? Maana naona kuna Anza kujengeka falsafa ya ukweli kuwa Adui wa chama.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Godlisten Malisa: Polisi ni waongo, hawajanidhamini, sijajidhamini wala sijatuhumiwa kwa chochote

    Naililia Tanzania Yangu sisi hatuna nchi ya kukimbilia na haya magenge ya kukamata watu bila kufuata utaratibu na tumai joka ulifugalo IPO siku litakutafunatu.
  9. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Lila Awaita Wananchi Wa Ilala Kutoa Ushahidi Kwa Tume Ya Uchunguzi Wa Ghasia Za Uchaguzi Mkuu Oktoba 29

    Serikali ingeachana na haya mambo ya matume. Maisha mengine yaendelee. Watu Wana maumivu sana wamepoteza wapendwa wao. Alafu mnakuja kuwa hoji hoji tena ni kufukua makaburitu. Mimi ningekua karibu na Bimkubwa ningemwambia Apotezeetu Maisha mengine yaendelee.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Nimekuta SMS za jirani kwenye simu ya mke wangu

    Pole Mkuu wanyaturu itikadi yao ni Wajamaa 😂
  11. M

    JamiiForums Tanzania Huwa nawashangaa sana wana CCM wanao pigia makofi huu utawala, nashindwa kuwaelewa ni wazawa wa Tanganyika kweli au ni wahamiaji?

    Nitasema Ukweli Daima fitina Kwangu Mwiko" ahadi ya mwana chama cha mapinduzi. Japo siku hizi kama imesalitiwa vile! Hawataki tena hii kauli mbiu imebaki kwa kina Mzee wariobatu. Japo ni chungu lakini ni dawa nzuri sana kama wataitumia itakiponya chama ni dawa nzuri sana.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Nauliza tuu Kulikoni Freeman Mbowe?

    Siwalimtoa kwenye MRADI wake. Yule jamaa Alikula sana pesa za chama. Hata wale COVID-19 walikua MRADI wake. Halima mdee Atakua Anajua mchongo wa wao kwenda bungeni.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Spiritual warfare

    Nimekuelewa sana. Japo unaweza ukawa hujui mambo Mengi kuusu Yesu. Bwana YESU Ndiye mwanzilishi wa Kimfunua Mwanadamu kwamba yeye sio Miwili Bali ni Roho inayo ishi ndani ya Mwili. Japo dini imetuvuruga sana na kututoa kwenye uhalisia wa Asili ya Uhungu Aliotufunilia Yesu. Yesu Ndiye...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi Nchimbi, yupo hai, mfu, huru, kizuizini au ughaibuni?

    Kweli kabisa dkt Mshana. Ccm hawawezi mruhusu jamaa kufungua kinywa maana wamejifunza kwa komredi Pole pole. Sasa wewe pole pole Alijua Siri nyingi za chama sembuse makamo wa Rais huyu ndio mtambo wa Siri zingatia Alikua katibu wa chama yaani Mtendaji Mkuu wa chama Anakijua nje ndani na...
Back
Top Bottom