Recent content by Mtu Kwao

  1. Mtu Kwao

    Huyu Jamaa hazeeki miaka Sasa yupo vile vile

    Anaitwa Single mtambalike. Nimeenza kumuona Tangu miaka ya 99 huko lakin mpaka Leo muonekano wake upo vile vile.. Asee Kaka rich emu njo utupe Siri ya kutokuzeeka au wewe. Ni clone
  2. Mtu Kwao

    Mbona hayati mzee Kawawa na Dkt Omari wamesahaulika kabisa

    Kwani kumbu kumbu ya Nyerere huwa inaandaliwa na serikali au familia?
  3. Mtu Kwao

    Mbona hayati mzee Kawawa na Dkt Omari wamesahaulika kabisa

    Wazo zuri pia au itengwe siku 1 yakuwakumbuka wote kama marekani wanavyofanya
  4. Mtu Kwao

    Mbona hayati mzee Kawawa na Dkt Omari wamesahaulika kabisa

    Salaam Kumekuwa na kumbukizi za viongozi wakuu wengi waliokwisha kutangulia mbele za haki kama vile Mwl. Nyerere, sokoine, mkapa na magufuli. Lakini sijawahi ona kumbukizi za hayati mzee Kawawa na Dkt Omari zikipewa kipaumbele na serikali sikumbuki kama ata tarehe za zinakumbukwa.. Dkt Omari...
  5. Mtu Kwao

    Ila bongo Movie bana, eti mfungwa anavaa hereni!

    [emoji16][emoji23][emoji23]
  6. Mtu Kwao

    Uchakavu wa miondombinu chuo kikuu Cha kilimo (SUA) na mazimbu campus

    Kwani SUA hawez kufanya miundombinu wenyewe Hadi wasubir Serikali maana Kama ni pesa wanapata ya kutosha kwenye miradi na Ada
  7. Mtu Kwao

    Ipi top 3 yako ya nyama tamu?

    Duuh
  8. Mtu Kwao

    Mnaojenga Nyumba ya ghorofa kwa ajili ya kuishi mnazipendea nini?

    Z[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
  9. Mtu Kwao

    Mnaojenga Nyumba ya ghorofa kwa ajili ya kuishi mnazipendea nini?

    Pesa ipo Ila Basi tu naona usumbufu pia usalama mdogo unaweza dunguliwa na sniper
  10. Mtu Kwao

    Mnaojenga Nyumba ya ghorofa kwa ajili ya kuishi mnazipendea nini?

    Ni kweli asee Ile panda shuka inachosha
Back
Top Bottom