Ester505
JF-Expert Member
- Jul 14, 2020
- 792
- 1,053
Naunga hoja,na pia mipango mibovu sijawahi ona.Salaam!
Nipo morogoro hapa Ila asee katika ya miji niliyofika Basi Morogoro ndo wanausafiri wa umma (daladala) zimechoka sana na kuchaka na ubovu.
Baadhi ya daladala ata baadhi ya viti hamna milango haifungi vizuri Yani hii ni hatari kwa abiria.
Sijui mamlaka sinaruhusu vipi hili swala
Mamlaka mnaohusika na hili mlishughulikie.
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Hivi bajaji za sua kituo NI soko la kingaru.
Bajaji za bigwa,kihonda baadhi ni sheri.
Bajaji nyingine NI juwata
Yaani huu mji aliyeulaani,kafa