JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania
Mbona wameachana
Ukitokea kupendana kikweli na mtu halafu for some reason mkashindwa kuendelea, wale wote watakaofuata utajikuta unaishi nao kwa tahadhari tu, penzi halitaweza tena kuwa la ukweli kama lile la mwanzo.
Ndio maana hadi leo bado niponipo, demu akiniambia ananipenda yaani feeling ninayopata...