Recent content by MTRANSPARENT

  1. M

    Machali na Mkosamali wafuta kumbukumbu ya Zitto bungeni

    Tuliwaambia muwatafitie majimbo hko machame, nadhan yashapatikana coz waha washafanya yao tafadhalin msiwaache coz wapo vzr lkn kwa maendeleo ya Kg hawatufai. ZZK atoshaaaaa
  2. M

    Waliomdharau Zitto sasa awafunga midomo

    Walimsifia saana kafulila kumbe wanakigoma wamempimia tu anavojfaragua na hao wachaga na kumsahau ZZK, wakamwambia atafutiwe jmbo Kilimanjaro akadhan masihara sasa waha washafanya yao alete zle kelele za mara tuzo mbunge bora oooh
  3. M

    Nani anafaa kuwa rais wa Tanzania 2015?

    Acha mawazo mgando fanya kaz
  4. M

    Kwa nini naichukia ACT Wazalendo?

    ACT ndo hbr ya mjn mafisad tutawafyeka wote, hatutasamehe mafisad wajiandae
  5. M

    CHADEMA 'Lowassa siyo fisadi', CCM 'Lowassa ni fisadi'

    Kwan ccm waliwahi kusema kuwa magufuli kahonga nyumba!?
  6. M

    Naipa Serikali Siku 7, kama Mkuu wa Majeshi hatajitokeza...

    Mkurugenzi usalama wa taifa unajua alipo? Au yeye haumpendi? Au n yeye usingependa kujua yupo wap ila kwa kua unataka kujua ya mkuu wa majeshi ndo unaishinikiza serkal!!! TAKA YAKO KWAO TAKATAKA na muache upumbavu, ivi yale maandamano ya Rombo lini tena ama kwa kua ulikosa ubunge CDM ndo...
  7. M

    Vurugu Tunduma: Vijana Wawili wapoteza Maisha

    Na ccm wanasema ivo ivo alaf et mnataka mkarinde kura wapuuz wakubwa pigen kura changanya mbaliga nyumbaniii
  8. M

    Vurugu Tunduma: Vijana Wawili wapoteza Maisha

    Unauhakika gan kama vurugu zmeanzishwa na ccm?
  9. M

    Msaada sim yangu inasumbua android system

    Wanabod, nnasim yangu htc1 M8 inasumbua. Inaniandikia unfortunately measure has stopped, adobe air has stopped na pia avast mobile inanambia imeditect problem ambazo ndo izo izo zmezotajwa apo juu. Jaman kwa mwenye utaalam anisaidie coz ata raha ya smart fon inapotea na pia inaatack mno yaan...
  10. M

    CHADEMA thibitisheni mgombea URAIS kushiriki MDAHALO

    ha ha ha haaaa kwa kwel hilo n tatzo upinzan kuogopa mdahalo itakua kali ya miaka duu kwel lowasa
  11. M

    Zitto: Ufisadi ni agenda endelevu

    kuna lifisad papa linatishia uhai wa taiga likishika madaraka
  12. M

    Zitto: Ufisadi ni agenda endelevu

    ampe wakat mgumu nan? issue n kwamba chama cha upinzan kimekua top ya ufisad kitu kinachopoteza iman ya wananchi kwa vyama vya upinzan
Back
Top Bottom