Tuliwaambia muwatafitie majimbo hko machame, nadhan yashapatikana coz waha washafanya yao tafadhalin msiwaache coz wapo vzr lkn kwa maendeleo ya Kg hawatufai. ZZK atoshaaaaa
Walimsifia saana kafulila kumbe wanakigoma wamempimia tu anavojfaragua na hao wachaga na kumsahau ZZK, wakamwambia atafutiwe jmbo Kilimanjaro akadhan masihara sasa waha washafanya yao alete zle kelele za mara tuzo mbunge bora oooh
Mkurugenzi usalama wa taifa unajua alipo? Au yeye haumpendi? Au n yeye usingependa kujua yupo wap ila kwa kua unataka kujua ya mkuu wa majeshi ndo unaishinikiza serkal!!! TAKA YAKO KWAO TAKATAKA
na muache upumbavu, ivi yale maandamano ya Rombo lini tena ama kwa kua ulikosa ubunge CDM ndo...
Wanabod, nnasim yangu htc1 M8 inasumbua. Inaniandikia unfortunately measure has stopped, adobe air has stopped na pia avast mobile inanambia imeditect problem ambazo ndo izo izo zmezotajwa apo juu.
Jaman kwa mwenye utaalam anisaidie coz ata raha ya smart fon inapotea na pia inaatack mno yaan...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.