Zitto: Ufisadi ni agenda endelevu

Zitto: Ufisadi ni agenda endelevu

Zitto kwa upande wangu mimi ckuamini na ctakuja nikuamini ww ni kikwazo kikubwa cha harakati za kumkomboa mtanzani maskini wa leo hii hivyo hufai na hutatufaa. Ww mwenyewe ni mmbadhilifu (fisadi mkubwa) ulipewa hela na ccm ili uivuluge chadema tena pesa nyingi ukashindwa, Kweli wa tz cjui ni njaa au ujinga, kweli wako watu wanaambatana na Zitto et wanajiita wao Act Zitto huyu huyu ambae anamkataba tayri na ccm kwamba hatakuwa kikwazo sana dhidi ya ccm

Sikujuaga kumbe kuna akina mwaipaja wajinga hivi

kosa lako au tatizo lako ni kuwa haujui lolote lile; unaamini unavyoyasikia na kuyaona!! wala hauna uwezo wa kufikiri wala kujua nyuma ya pazia

Ungekuwa na akili timamu....unaosema wanaleta mabadiliko ukweli ni kuwa 'lengo lao limekutana na tamaa zako'

there are times in life when your problems/need are actually my opportunity...a golden one

kama unaishi na utakuwepo, nitakuuliza swali hili au nitataka urudie post hiyo miaka mitano ijayo

kamwe usije kuwaza na kufikiri ubovu wa CCM ndio ubora wa chadema! na kamwe usiwaze unaoambiwa wasaliti na popo ndio ukweli walivyo

siasa iko zaidi ya hivyo

Hauwezi kufananisha credibiltity au usafi wa zitto na mpinzani yeyote kwa sasa hivi............kibaya hao wachafu ndio waliowaaminisha mnayoyaamini

ungekuwa na akili kidogo tu, ungenipa analysis ya kazi za zitto bungeni na usaliti wake....kama vinakuingia akilini

uswe abhanyakyusa tukumila mibhalagha tuli na mahala fijo....ugwe kwa kughu??
 
Tatizo ni kuwa CHADEMA wameamua kumuajiri FISADI PAPA EDWARD LOWASSA na kujaribu kumsafisha ingawa inaelekea imeshindikana. Kwa hiyo ufumbuzi wao ni KUACHA KUONGELEA UFISADI MOJA KWA MOJA.
Si uchague Hashim Lungwe au Anna Ngwihira ACT achana na Edo hiyo ni habali ingine.
 
Sikujuaga kumbe kuna akina mwaipaja wajinga hivi

kosa lako au tatizo lako ni kuwa haujui lolote lile; unaamini unavyoyasikia na kuyaona!! wala hauna uwezo wa kufikiri wala kujua nyuma ya pazia

Ungekuwa na akili timamu....unaosema wanaleta mabadiliko ukweli ni kuwa 'lengo lao limekutana na tamaa zako'

there are times in life when your problems/need are actually my opportunity...a golden one

kama unaishi na utakuwepo, nitakuuliza swali hili au nitataka urudie post hiyo miaka mitano ijayo

kamwe usije kuwaza na kufikiri ubovu wa CCM ndio ubora wa chadema! na kamwe usiwaze unaoambiwa wasaliti na popo ndio ukweli walivyo

siasa iko zaidi ya hivyo

Hauwezi kufananisha credibiltity au usafi wa zitto na mpinzani yeyote kwa sasa hivi............kibaya hao wachafu ndio waliowaaminisha mnayoyaamini

ungekuwa na akili kidogo tu, ungenipa analysis ya kazi za zitto bungeni na usaliti wake....kama vinakuingia akilini

uswe abhanyakyusa tukumila mibhalagha tuli na mahala fijo....ugwe kwa kughu??

Ugwe kwa kugu nkamu?

Tunaamini kwa kusikia na kuona,na tuna hoji kwa sababu sio mahaba...! Muombe Mungu akufunulie juu ya uyo unae amini ni msafi...haya mambo magumu nkamu.

Mjue vema MTU au jambo kabla ya kujiweka dhamana.
 
ZITO KABWE katika ubora wake nawaomba wanakigoma mjini mrudisheni bungeni kijana akawape kibano mafisadi wa hii nchi
 
Tatizo ni kuwa CHADEMA wameamua kumuajiri FISADI PAPA EDWARD LOWASSA na kujaribu kumsafisha ingawa inaelekea imeshindikana. Kwa hiyo ufumbuzi wao ni KUACHA KUONGELEA UFISADI MOJA KWA MOJA.

Wenzako hata ile listi ya mafisadi wameiondoa kwenye tovuti yao, alafu wewe unataka waizungumzie issue ya ufisadi, Chadema ya leo ni Pro - UFISADI
 
Ugwe kwa kugu nkamu?

Tunaamini kwa kusikia na kuona,na tuna hoji kwa sababu sio mahaba...! Muombe Mungu akufunulie juu ya uyo unae amini ni msafi...haya mambo magumu nkamu.

Mjue vema MTU au jambo kabla ya kujiweka dhamana.

Jana walikuambia Lowassa ni FISADI Ukaamini,leo umeambiwa tena sio fisadi na watu wale wale-UMEAMINI.Uliambiwa SLAA ni rais wa mioyo ya watanzania ukaamini na leo umeambiwa ni msaliti Dr mihogo-UMEAMINI,Uliambiwa MACHALI,KAFULILA ni sisimizi.NCCR ni CCM maana Mbatia mteule wa kikwete na CUF ni mashoga na CCM B ukaamini na leo umeambiwa ni MASHUJAA-UMEAMINI. Hivi wewe kichwa chako unatumia KUFUGIA NYWELE TU?
 
Ugwe kwa kugu nkamu?

Tunaamini kwa kusikia na kuona,na tuna hoji kwa sababu sio mahaba...! Muombe Mungu akufunulie juu ya uyo unae amini ni msafi...haya mambo magumu nkamu.

Mjue vema MTU au jambo kabla ya kujiweka dhamana.


1. Zitto ndiye analiyeongoza kujizulu mara mbili kwa mawaziri wa CCM.....sidhani kama kujiuzulu kule kulimfurahisha mhongo, tibaijuka.....sidhani kama kuliwafurahisha akina Ngeleja n.k NAOMBA NIPE MECHANISM YA zitto KUWA MSALITI NA at the same time kuwaumiza hao hao mnaosema anashirikiana nao? ebu dadavua kwa lugha nyepesi

2. Sijawahi kupewa taarifa/report lini na wapi zitto alisema nini cha kuisaliti au kuiumiza chadema!

Usipojibu hayo hautakuwa wa kwanza
 
Hahahaha chuki binasfi hizo kuna sela nying za kuongelea Edo ni nan?? Mbona anawapa wakati mgumu hvi??

ampe wakat mgumu nan? issue n kwamba chama cha upinzan kimekua top ya ufisad kitu kinachopoteza iman ya wananchi kwa vyama vya upinzan
 
Jana walikuambia Lowassa ni FISADI Ukaamini,leo umeambiwa tena sio fisadi na watu wale wale-UMEAMINI.Uliambiwa SLAA ni rais wa mioyo ya watanzania ukaamini na leo umeambiwa ni msaliti Dr mihogo-UMEAMINI,Uliambiwa MACHALI,KAFULILA ni sisimizi.NCCR ni CCM maana Mbatia mteule wa kikwete na CUF ni mashoga na CCM B ukaamini na leo umeambiwa ni MASHUJAA-UMEAMINI. Hivi wewe kichwa chako unatumia KUFUGIA NYWELE TU?


yakhhheeeee kula like bilioni moja
 
Iwapo rais akitoka act_wsaliti basi zitto atakuwa ndo firstlady!
 
ZITO KABWE katika ubora wake nawaomba wanakigoma mjini mrudisheni bungeni kijana akawape kibano mafisadi wa hii nchi

usiwe na wasiwasi kwa hilo ondoa shaka. kwa MWAMI ZZT kilichobakia n kuapishwa tu.
 
Hivi Nkulunziza bado upo kweli tz hii,unajitahidi sana kujitangaza kwenye vyombo vya habali lakini vinakupotezea!ukitaka utangazwe sana jipige kitanzi au ubake katoto,hapo umalufu wako utaludi kama zamani kwenydm vyombo vyo vya habali,chama chako kinamgombea wa urais ibebeni ajenda ya ufisadi bila shaka mtaenda ikulu.
 
Back
Top Bottom