Recent content by mtotowatatu

  1. mtotowatatu

    DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

    Yaani kabisa wamuue Lisu? Hapana Sent using Jamii Forums mobile app
  2. mtotowatatu

    Askofu Dallu: Marufuku shule za kanisa katoliki wanafunzi kuendelea na masomo baada ya kupata mimba

    Huyo haijui tamu Sent using Jamii Forums mobile app
  3. mtotowatatu

    Je ninaweza kuishitaki CWT? Kwa kutotimiza wajibu wake kwangu?

    Wasalaamu wakuu?. Kuna swali linanitatiza kidogo ..najiuliza kwamba mimi ni mwanachama wa CWT (CHAMA CHA WALIMU TANZANIA) na hvyo ninakatwa 2% ya mshahara wangu kila mwezi kwa ajili yao. Tatizo ni kwamba hawatimizi wajibu wao kwangu kama., kupigania maslah yangu kama mwl, kulinda hadhi yangu...
  4. mtotowatatu

    Imekuwaje Gorofa 1 ya TRA Chato ijengwe kwa bil 1.4 wakati Gorofa 4 UDSM zilijengwa kwa Mil 500?

    Mbona mheshimiwa, alishatupa mechanism rahisi ya kumweleway, tumwombee tu
  5. mtotowatatu

    Wakati nchi ikijiandaa katika Vita ya kiuchumi na ACACIA, Mfahamu vizuri Peter Munk

    Anae lalamika kuibiwa ndiye anaeunda tume ya kuchunguzwa anaibiwa kiasi gani, ulitegemea majibu gani ndugu
  6. mtotowatatu

    Transfers Talk Special Thread 2017/18

    Nimeskia bocco katua simba sjui anatafuta nini
  7. mtotowatatu

    Gambo, kama ni mkusanyiko usio halali mbona wafiwa umewaacha?

    Msiba hauozi Bwana mdogo, subiri na wwe yakupate halfu ulete mrejesho hapa
  8. mtotowatatu

    Mkurugenzi Lushoto azuia shule zisifungwe kwa muhula wa kwanza

    Tegemea wanafunzi wengi kfeli hiyo wilaya maana walimu hawajaridhia maana huwezi kuwa motivate watu kwa kufanya mambo wasiyo hitaji ila kwa kufnya wanayohitaji, tatizo hao wakurugenz wengi hata elimu ya management hawana
  9. mtotowatatu

    Ajira mpya za walimu: Ni makosa ya kiufundi au ndio Double Standard?

    Kama ni kweli ndo tuseme wao ni special kuliko wengine?,
  10. mtotowatatu

    Hoja ya Mbowe waliyoidharau wabunge wa CCM imeanza kupata majibu

    Dereva wa lori ana leseni ya guta
  11. mtotowatatu

    Mwalimu Mkuu kaeleza changamoto za shule, kapata misaada, kashushwa cheo

    Ni Nature ya utawala wa awamu ya tano, kama walikatazwa kusema kuna njaa utashaangaaje kushushwa cheo kwa kusema shule ina changamoto.. Tukubali katika awamu hii uongo ni daraja na ukweli ni ajali.
  12. mtotowatatu

    Rais Magufuli ampigia simu MwanaFA na kumwambia anapenda kazi zake hasa Wimbo wa Dume Suruali

    Majina ya watoto yanasadifu matendo yao, usije kumuita mtoto pombe
Back
Top Bottom