Wasalaamu wakuu?. Kuna swali linanitatiza kidogo ..najiuliza kwamba mimi ni mwanachama wa CWT (CHAMA CHA WALIMU TANZANIA) na hvyo ninakatwa 2% ya mshahara wangu kila mwezi kwa ajili yao. Tatizo ni kwamba hawatimizi wajibu wao kwangu kama., kupigania maslah yangu kama mwl, kulinda hadhi yangu...
Tegemea wanafunzi wengi kfeli hiyo wilaya maana walimu hawajaridhia maana huwezi kuwa motivate watu kwa kufanya mambo wasiyo hitaji ila kwa kufnya wanayohitaji, tatizo hao wakurugenz wengi hata elimu ya management hawana
Ni Nature ya utawala wa awamu ya tano, kama walikatazwa kusema kuna njaa utashaangaaje kushushwa cheo kwa kusema shule ina changamoto.. Tukubali katika awamu hii uongo ni daraja na ukweli ni ajali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.