Recent content by Mtoto wa Jadu

  1. Mtoto wa Jadu

    JamiiForums Tanzania Gen Z wachache sana wataweza kuelewa nini kilikuwa kinaendelea hapa

    Picha kwa msaada wa AI
  2. Mtoto wa Jadu

    JamiiForums Tanzania Uvunjaji wa tamaduni wa Simba na Yanga ndiyo mwisho wa Raisi Karia

    Kwanza Simba na Yanga ndio zinazoharibu soka la bongo!! Unakuta hata hizi timu pinzani, ni either Yanga au Simba
  3. Mtoto wa Jadu

    JamiiForums Tanzania Kuna jamaa yangu ameambiwa atoe pesa apelekwe Oman au Dubai Kwa meli ya mizigo, safari itadumu Kwa wiki Moja tu kutokea zenji, je ni kweli?

    Hahahaa! Hata mimi mwanzo nilihisi hivyo, kwamba:- Huyo jamaa ni yeye mwenyewe!
  4. Mtoto wa Jadu

    JamiiForums Tanzania Naomba kumfahamu mwanasayansi yeyote aliyetokea chuo kikuu cha UDSM

    Kuna ndugu anaitwa Erasto Mpemba, ndio yule aligundua kitu ambacho baadaye kikaitwa Mpemba effect... Kwamba kwenye fridge, maji ya moto yatawahi kuganda kuliko ya baridi Nachojua ni mtanzania, ila sijui kama alisoma hapa bongo... Pia gunduzi hiyo aliifanyia huko Tanga kipindi anasoma Mcheki...
  5. Mtoto wa Jadu

    JamiiForums Tanzania Kwako ni zipi ni mechi bora zaidi za world cup 2026

    Argentina vs Cape verde
  6. Mtoto wa Jadu

    JamiiForums Tanzania Hakuna tatizo lolote mwanamke kuzaa bila kuolewa au kuamua kuoa mwanamke mwenye mtoto

    Kuoa single mother hakuna shida yoyote ya kifizikia. Migogoro inayoweza kujitokeza ndio inaweza kuzaa shida
  7. Mtoto wa Jadu

    JamiiForums Tanzania Wakuu nina 60,000 niiweke kwenye nusu na fainali kombe la dunia nipeni mwongozo

    😂😂😂😂 Kaka kweli ulienda na hizo?
  8. Mtoto wa Jadu

    JamiiForums Tanzania Je Mungu anaweza kuwa Mungu; Je mtu anaweza kuwa Mungu?

    Kama Mungu hawezi kuwa mtu, basi maana yake ni kwamba, kuna vitu Mungu haviwezi kuvifanya!! Sasa hii pia inaleta mgongano wa kimantiki, kwamba Mungu ni muweza wa yote... Lakini mbona hili haliwezi? 🤔
  9. Mtoto wa Jadu

    JamiiForums Tanzania Babu yetu Tambitambi ameongeza mke wa nne jana

    Mimi miaka 32 sina hata mmoja!! 😭
  10. Mtoto wa Jadu

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 From Electoral reforms to Post Election violence, here are 5 things Mwigulu Nchemba said in his recent press conference

    Kaka weka na version ya Kiswa, hii unatunga tuliokwepa umande!
  11. Mtoto wa Jadu

    JamiiForums Tanzania Walimu Wasio na Ajira (NETO) wamerudi tena. Watuma barua kwa Wizara 3 wakitaka Serikali iharakishe utatuzi wa matakwa yao

    Huu ni umoja wa waalimu wasio na ajira serikalini? Au hata shule binafsi? Au ajira zozote tu?
  12. Mtoto wa Jadu

    JamiiForums Tanzania Hatimaye pepsi wamvua ubalozi Diamond Platnumz

    Kuuliza si ujinga jamani, hivi mwamba amefanya nini cha ziada kibaya mpaka ndugu yangu Mtanashati anamuandama hivi aloo!?
  13. Mtoto wa Jadu

    JamiiForums Tanzania Sifa za mahaba

    Ohooo! Ni matokeo hasi ya maandamano? Au ni kifo cha kawaida? RIP
  14. Mtoto wa Jadu

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wito wa Papa Leo kwa dunia nzima kuiombea Tanzania kwa mauaji ya kupinga uchaguzi

    Kaka umejiunga lini na JF? Nakuhakikishia, kama utakomaa hivi, basi hii yhread haitaisha na itakuwa na dhima tofauti na kichwa chake! Kila la kheri! 😁
Back
Top Bottom