Recent content by Mtoto wa Jadu

  1. Mtoto wa Jadu

    Je Mungu anaweza kuwa Mungu; Je mtu anaweza kuwa Mungu?

    Kama Mungu hawezi kuwa mtu, basi maana yake ni kwamba, kuna vitu Mungu haviwezi kuvifanya!! Sasa hii pia inaleta mgongano wa kimantiki, kwamba Mungu ni muweza wa yote... Lakini mbona hili haliwezi? 🤔
  2. Mtoto wa Jadu

    Babu yetu Tambitambi ameongeza mke wa nne jana

    Mimi miaka 32 sina hata mmoja!! 😭
  3. Mtoto wa Jadu

    Walimu Wasio na Ajira (NETO) wamerudi tena. Watuma barua kwa Wizara 3 wakitaka Serikali iharakishe utatuzi wa matakwa yao

    Huu ni umoja wa waalimu wasio na ajira serikalini? Au hata shule binafsi? Au ajira zozote tu?
  4. Mtoto wa Jadu

    Hatimaye pepsi wamvua ubalozi Diamond Platnumz

    Kuuliza si ujinga jamani, hivi mwamba amefanya nini cha ziada kibaya mpaka ndugu yangu Mtanashati anamuandama hivi aloo!?
  5. Mtoto wa Jadu

    Sifa za mahaba

    Ohooo! Ni matokeo hasi ya maandamano? Au ni kifo cha kawaida? RIP
  6. Mtoto wa Jadu

    PostGE2025 Wito wa Papa Leo kwa dunia nzima kuiombea Tanzania kwa mauaji ya kupinga uchaguzi

    Kaka umejiunga lini na JF? Nakuhakikishia, kama utakomaa hivi, basi hii yhread haitaisha na itakuwa na dhima tofauti na kichwa chake! Kila la kheri! 😁
  7. Mtoto wa Jadu

    Kumbe JF inapatikana na hatuambiani jamani!!

    Hakika sikuwa na raha kwa kipindi chote hicho JF ilipokuwa banned!! Jana kwa bahati mbaya? Nikabonyeza app ya JF, haaa!! Nikashangaa threads za kutosha!! Katika ku peruzi peruzi nikagundua thread ya tangu Octoba mosi... Kumbe kipindi chote hicho nipo gizani wakati JF iko hewani! Kongole sana...
  8. Mtoto wa Jadu

    Zilizovuja kumbe zilikuwa ni zenyewe bwana Yanga bingwa tena kwa kufaulu nje ya uwanja

    Kwa kweli, ukweli usemwe... Jezi za Yanga binafsi sijazielewa, ila za Simba hayo mabango ni balaa... Yaani mbele tu ya tshirt nyekundu, tayari mabango matano, dah sio poa aisee!!
  9. Mtoto wa Jadu

    JEZI MPYA YA YANGA KUELEKEA MSIMU WA 25/26 MWANANCHI UMEIONAJE JEZI HII ?

    Ukitoka usingizini ukaangalia ghafla unaweza ukasema ni msalaba! Huo mstari wa kati ungekuwa pembeni kushoto!! 4/10
  10. Mtoto wa Jadu

    Kigwangala My Brother Njoo tuwaze wote Nje ya Box; maana kwa sasa na wewe slogan yako kubwa ni No Reforms No Election,Usiende kule ili mtu apate ajali

    Kaka umeongea kwa uchungu sana, kama mimi nilivyo na uchungu na swala hilo!! Naunga mkono hoja!!
  11. Mtoto wa Jadu

    Na sisi wa mikoani tupunguze shobo na ndugu wa Dar es Salaam

    Kwanza wewe uliyeandika ni jamaa wa Dar, ambeye umetuchoka sisi ndugu zako wa mikoani. Sasa kaka mpaka uje huku mitandaoni, si utuambie tu hapa sebuleni?
  12. Mtoto wa Jadu

    GE2025 Kamwe: Eng. Hersi hajachukua fomu kwa mara ya pili, wanataka kutuchafua Yanga

    Kwanini walichangia chama cha siasa Milioni 100 ili kiweze kushinda?
  13. Mtoto wa Jadu

    Ni kweli Rais Samia akataa uwanja wa Nzuguni kuitwa kwa jina lake au kuna sababu za kimkakati

    Nawaza tu kwa sauti, Utaratibu huu ungekuwepo kipindi kile mikoa inagawanywa, hakika mikoa yetu hii ingeitwa kwa majina ya viongozi, Mkoani Nchimbi, mkoani Kikwete, Mkoani Makamba, mkoani .... Hahahaa, dah!! Hivi hakuna ujanja mwingine wa kuita jina la mahali/eneo jipya isipokuwa jina la...
Back
Top Bottom