Kama Mungu hawezi kuwa mtu, basi maana yake ni kwamba, kuna vitu Mungu haviwezi kuvifanya!!
Sasa hii pia inaleta mgongano wa kimantiki, kwamba Mungu ni muweza wa yote... Lakini mbona hili haliwezi? 🤔
Hakika sikuwa na raha kwa kipindi chote hicho JF ilipokuwa banned!!
Jana kwa bahati mbaya? Nikabonyeza app ya JF, haaa!! Nikashangaa threads za kutosha!!
Katika ku peruzi peruzi nikagundua thread ya tangu Octoba mosi... Kumbe kipindi chote hicho nipo gizani wakati JF iko hewani!
Kongole sana...
Kwa kweli, ukweli usemwe... Jezi za Yanga binafsi sijazielewa, ila za Simba hayo mabango ni balaa...
Yaani mbele tu ya tshirt nyekundu, tayari mabango matano, dah sio poa aisee!!
Kwanza wewe uliyeandika ni jamaa wa Dar, ambeye umetuchoka sisi ndugu zako wa mikoani. Sasa kaka mpaka uje huku mitandaoni, si utuambie tu hapa sebuleni?
Nawaza tu kwa sauti,
Utaratibu huu ungekuwepo kipindi kile mikoa inagawanywa, hakika mikoa yetu hii ingeitwa kwa majina ya viongozi,
Mkoani Nchimbi,
mkoani Kikwete,
Mkoani Makamba,
mkoani ....
Hahahaa, dah!!
Hivi hakuna ujanja mwingine wa kuita jina la mahali/eneo jipya isipokuwa jina la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.