Kwa uelewa wangu, mwalimu, nesi, injinia wa serikali n.k, hao sio serikali... Bali ni watumishi wa serikali.
Mfano, Aziz Ki, Mrisho Ngasa n.k hao sio Yanga, ila ni wachezaji wa Yanga... Maana yake siku yoyote wanaweza wasiwe wachezaji wa Yanga.
Lakini serikali, ni serikali milele, kamwe...