Kuna ndugu anaitwa Erasto Mpemba, ndio yule aligundua kitu ambacho baadaye kikaitwa Mpemba effect... Kwamba kwenye fridge, maji ya moto yatawahi kuganda kuliko ya baridi
Nachojua ni mtanzania, ila sijui kama alisoma hapa bongo... Pia gunduzi hiyo aliifanyia huko Tanga kipindi anasoma
Mcheki...
Kama Mungu hawezi kuwa mtu, basi maana yake ni kwamba, kuna vitu Mungu haviwezi kuvifanya!!
Sasa hii pia inaleta mgongano wa kimantiki, kwamba Mungu ni muweza wa yote... Lakini mbona hili haliwezi? 🤔
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.