Habari wana JF,
Nahitaji kufahamu vigezo anavyotakiwa kuwa navyo anaeajiriwa kuwa Cashier wa supermarket.
Pia nahitaji kutambua je,mtu yeyote anaweza ajiriwa kuwa Cashier hata kama hakusomea hiyo kazi?
Nahitaji msaada katika hilo tafadhali.
Habari wana JF,
Nahitaji kufahamu vigezo anavyotakiwa kuwa navyo anaeajiriwa kuwa Cashier wa supermarket.
Pia nahitaji kutambua je,mtu yeyote anaweza ajiriwa kuwa Cashier hata kama hakusomea hiyo kazi?
Nahitaji msaada katika hilo tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.