Vigezo vya kuwa Cashier

Vigezo vya kuwa Cashier

Mtoto wa Golden Paste

Senior Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
166
Reaction score
121
Habari wana JF,

Nahitaji kufahamu vigezo anavyotakiwa kuwa navyo anaeajiriwa kuwa Cashier wa supermarket.

Pia nahitaji kutambua je,mtu yeyote anaweza ajiriwa kuwa Cashier hata kama hakusomea hiyo kazi?

Nahitaji msaada katika hilo tafadhali.
 
Habari wana JF,

Nahitaji kufahamu vigezo anavyotakiwa kuwa navyo anaeajiriwa kuwa Cashier wa supermarket.

Pia nahitaji kutambua je,mtu yeyote anaweza ajiriwa kuwa Cashier hata kama hakusomea hiyo kazi?

Nahitaji msaada katika hilo tafadhali.
 
Habari wana JF,

Nahitaji kufahamu vigezo anavyotakiwa kuwa navyo anaeajiriwa kuwa Cashier wa supermarket.

Pia nahitaji kutambua je,mtu yeyote anaweza ajiriwa kuwa Cashier hata kama hakusomea hiyo kazi?

Nahitaji msaada katika hilo tafadhali.
Kwa uzoefu wangu mimi ile kihalali kabisa ili uwe cashier unatakiwa uwe na angalau certificate au Diploma ya mambo ya uhasibu.
Lakini inategemea unataka kuwa cashier wa taasisi gani?kama ni cashier wa sehemu za kawaida kama supermarket au kampuni ndogo ndogo za private hata kama una certificate ya secretarial course au computer applications unaweza kufanya pia.
Wewe umesomea elimu gani?
 
Kwa uzoefu wangu mimi ile kihalali kabisa ili uwe cashier unatakiwa uwe na angalau certificate au Diploma ya mambo ya uhasibu.
Lakini inategemea unataka kuwa cashier wa taasisi gani?kama ni cashier wa sehemu za kawaida kama supermarket au kampuni ndogo ndogo za private hata kama una certificate ya secretarial course au computer applications unaweza kufanya pia.
Wewe umesomea elimu gani?
Kuna mtu aliniuliza kuhusu hilo swala nikaona nije JF ili apate majibu,kaishia kidato cha nne na kazi ni ya cashier wa supermarket
 
Habari wana JF,

Nahitaji kufahamu vigezo anavyotakiwa kuwa navyo anaeajiriwa kuwa Cashier wa supermarket.

Pia nahitaji kutambua je,mtu yeyote anaweza ajiriwa kuwa Cashier hata kama hakusomea hiyo kazi?

Nahitaji msaada katika hilo tafadhali.
Ninawajua cashier form four failure,vile vimashine wanavyoscan bidhaa ni kuelekezwa tu ukaelewa. Tena ndo ukute ni kampuni ya wahindi[emoji23][emoji23][emoji23]hata la 4B utafanya. Ukielekezwa tu na ukiwa na uwezo wa kuelewa vitu unafanya bila taab!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom