Hakuna alilofanya na wenzake hawakulijua,amekua mbuzi wa kafara!mfumo mzima wa magamba uko hovyo na corrupt!dawa ni kuwapa wengine ridhaa tu!na si kung'ang'ania watu wenye malengo yale yale na akili zile zile!
Hapana mkuu,nadhani ni Francis peke yake ndie anaefanya kazi nje,Bridgett alikua anafanya kazi ICAP na Merrina nae alikua hapa hapa!!ila hata hivyo bado sijashawishika na Judge Augustine uwezo wake wa kua rais wa nchi hii!
Mkuu nadhani wewe kidogo ndio hauko well informed,faida za haya mayai zimekua proven na watafiti mbali mbali wa mataifa tofauti duniani ikiwemo America,Uk,China na Japan!kukurahishia tu mkuu unaweza uka google quail eggs na ukapata reliable sources kibao zinazoelezea faida za haya mayai!na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.