Recent content by mtori wa zanzibar

  1. M

    Mishahara mipya Novemba 2017 kuna ongezeko?

    Ninyi walimu mnao simamia uchaguzi acheni kusimama upande wa hawa watawala wanyonyaji. Maana kama mnakaa miaka 2 mnakuja kuongezewa tsh 9000 or tsh 15000 maana yake nini? Simamieni haki na maamuzi ya wananchi
  2. M

    Jinsi "wasaliti " wanavyoula CCM, huku wafia chama wakitoswa

    Ila hata mimi limeniuma, kila siku Nakitetea chama fb na mitandao mingine ila nafasi wanapata watu waliokua wanakiponda chama na wamehamia hivi karibuni. Ngoja uone kama hawa jamaa waliohamia juzi kama hawatapata nafasi zile za u dc na ukurugenzi wakati watoto watiifu tupo
  3. M

    Mishahara mipya Novemba 2017 kuna ongezeko?

    Ila watumwa wa serikali wana Kazi sana. Kelele nyingi ongezeko tsh 5000
  4. M

    Hajapatikana kijana sahihi kuiongoza BAVICHA mpaka sasa, CHADEMA chukueni ushauri huu

    Hilo uliliona mapema, ila njaa inasumbua sana naamini kila mmoja hiyo ndiyo inayomsumbua
  5. M

    Wapinzani acheni upotoshaji, watumishi wa serikali watapandishiwa mishahara

    we unatetea nini? Kwani sisi hatujasikia hiyo kauli za mheshimkwa sana? Usipende kujitoa ufahamu
  6. M

    Mkutano wa leo wa CHADEMA kwa waandishi wa habari waacha maswali mengi

    Mimi nachotaka ni kuona lisu kapona mengine kwangu ni taka taka
  7. M

    Tuendelee kumchangia Lissu tuachane na CCM

    Maombi tu wamezuia hivi hayo matibabu kugharamia mtaweza kweli ninyi wanafiki wa kijani
  8. M

    Uhalisia wa maisha unazidi kuonekana

    Watu tunasimamishwa kazi kwenye makampuni we unasema uchumi unakaa sawa kweli? Au unaungana na mchumi mwenzio anayesema bidhaa kupanda bei ndiyo uchumi imara
  9. M

    Uhalisia wa maisha unazidi kuonekana

    Hayo maoni yako na yanategemea sehemu ulipo na shughuli unayofanya, bei hiyo uangalie kote, huku kwangu sukari sh 2500-3000
  10. M

    Ushauri wenu, nimejeruhiwa sana na mapenzi

    Mapenzi yanauma sana tena sana asikwambie mtu. Loving someone is natural and unconditional
  11. M

    Hakuna nchi yoyote Duniani inayoruhusu wanafunzi wenye mimba kuendelea na masomo

    Jipya kwa kipi? Mbona lipo toka zamani? Kwani kuna mwanafunzi anaeendelea na while za serikali akipata mimba?
  12. M

    Hakuna nchi yoyote Duniani inayoruhusu wanafunzi wenye mimba kuendelea na masomo

    Hili jambo mbona lipo toka enzi hizo? Au kwa magu ndiyo linaon
  13. M

    Ripoti ya pili ya mchanga itamuacha uchi Tundu Lissu

    Hiyo mikataba ni ya lisu au serikali, msipende kuwa low mind ninyi vijana wa lumumba
Back
Top Bottom