Ninyi walimu mnao simamia uchaguzi acheni kusimama upande wa hawa watawala wanyonyaji. Maana kama mnakaa miaka 2 mnakuja kuongezewa tsh 9000 or tsh 15000 maana yake nini? Simamieni haki na maamuzi ya wananchi
Ila hata mimi limeniuma, kila siku Nakitetea chama fb na mitandao mingine ila nafasi wanapata watu waliokua wanakiponda chama na wamehamia hivi karibuni. Ngoja uone kama hawa jamaa waliohamia juzi kama hawatapata nafasi zile za u dc na ukurugenzi wakati watoto watiifu tupo
Watu tunasimamishwa kazi kwenye makampuni we unasema uchumi unakaa sawa kweli? Au unaungana na mchumi mwenzio anayesema bidhaa kupanda bei ndiyo uchumi imara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.