Nimesoma stori yako kwa makini. Umefanya vizuri kuanzisha biashara ila umekosea kitu kimoja ambacho ni LOCATION. Ilitakiwa uende ukafungulie mkoani huko.
Hiyo nafasi ya Dr Ndugulile ilikua ni nafasi kubwa sana kwetu kama Taifa. Sisi Watanzania kwa sehemu kubwa tuna upendo kwetu wenyewe lakini kwa majirani pia.
Kuna uwezekano washindani wake kwenye hiyo nafasi kutokea mataifa mengine hawakuridhika. Ukiangalia kwenye ile nafasi Kuna "Cartel"...
Inaonekana Mafuru alikuwa mkubwa kuliko watu wengi wakivyomfahamu. Itifaki ya msiba wake imekua kubwa sana. Waombolezaji wakiongozwa na Mheshimiwa Rais na Wakuu wa Vyombo.
Kwa kifupi amepata hadhi ya kupewa Msiba wa Kitaifa.
Aziz Ki ana ukaribu zaidi na viongozi wa Yanga kuliko Gamondi. Na Kuna uwezekano hamheshimu Gamondi coz hana cha kumfanya. Kocha ukishajua hilo unatakiwa uwe mpole na usimame kwenye nafasi Yako.
Hii iliwahi kutokea kwenye kikosi cha Timu ya Taifa ya Ufaransa miaka ya nyuma. Captain Didier...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.