Recent content by MTINIPUB

  1. M

    Mchimbaji aula kwa kupata mawe ya Tanzanite ya thamani ya Tsh. Bilioni 7.8

    hongera kubwa kwake...sasa walio karibu naye wamshauri aajiri wataalamu wabobezi wa maswala ya biashara na uchumi ili wamshauri na kumsimamia namna sahihi ya kuwekeza ili abaki kuwa juu yeye na kizazi chake forever.
  2. M

    Naombeni majina ya nyimbo nzuri RC

    i like this...hivi hatuna (WAKATOLIKI) website maalum au page kwenye website ambayo ina collection ya nyimbo kama ulivyozipanga hapo juu mdau?
  3. M

    Nimegundua baba alimharibu (sexually abused) ndugu yangu wa kike

    hapana, hairuhusiwi popote ku-confront na mzazi wako. unachotakiwa ama kujihadhari naye kwa kutompa access ya kukaa na watoto wako au kuwaeleza wazee ili wao ndio waongee nae. usithubutu kuinua ulimi wako ukalumbana na mzazi wako hata kama alichokufanyia hakikubaliki kwa namna gani.
  4. M

    Mama kapata mafao, afanye biashara gani?

    Anaweza pia kupata ushauri kwa wajuzi wa mambo ya dhamana za Serikali kwani nimeliona tangazo kwenye social media likinadi juu ya mambo ya dhamana za serikali Benki Kuu.
  5. M

    Mama kapata mafao, afanye biashara gani?

    ni nini maana ya kuita JF ni jukwaa la GREAT THINKERS mkuu? mtendee haki muomba ushauri, hayo mengine baki nayo mwenyewe.....
  6. M

    Unazitukana hospitali za Magufuli halafu ukiumwa unakimbilia hapo hapo?

    mkuu hujaelewa hoja unakimbilia kutoa povu...pole
  7. M

    Tupeane maujanja ya Excel

    hii hamjaijibu wataalamu...
  8. M

    Magreth Kobelo Gonzaga anayetafutwa na TAKUKURU kwa kukimbia kesi ni nani?

    ukiisoma post yako ya mwanzo umesema kuwa tatizo wanaofanya hayo mambo hawashikwi wanashikwa wengine...ndio maana nikakwambia mkuu taja basi wahusika si wanapitaga humu unaweza kuwasaidia jambo ambalo labda walikuwa hawalijui au kama walikuwa wanawaficha wajue wananchi tunajua....
  9. M

    Naomba kujua zaidi kuhusu Toyota Crown Majesta

    Au ikizingua sensor huchelewi kuambiwa milioni.....
  10. M

    Naomba kujua zaidi kuhusu Toyota Crown Majesta

    spare parts hapo ndipo wajapani wanapotupigaga napo....huchelewi kuambiwa shock-up laki nane...
Back
Top Bottom