hongera kubwa kwake...sasa walio karibu naye wamshauri aajiri wataalamu wabobezi wa maswala ya biashara na uchumi ili wamshauri na kumsimamia namna sahihi ya kuwekeza ili abaki kuwa juu yeye na kizazi chake forever.
hapana, hairuhusiwi popote ku-confront na mzazi wako. unachotakiwa ama kujihadhari naye kwa kutompa access ya kukaa na watoto wako au kuwaeleza wazee ili wao ndio waongee nae. usithubutu kuinua ulimi wako ukalumbana na mzazi wako hata kama alichokufanyia hakikubaliki kwa namna gani.
Anaweza pia kupata ushauri kwa wajuzi wa mambo ya dhamana za Serikali kwani nimeliona tangazo kwenye social media likinadi juu ya mambo ya dhamana za serikali Benki Kuu.
ukiisoma post yako ya mwanzo umesema kuwa tatizo wanaofanya hayo mambo hawashikwi wanashikwa wengine...ndio maana nikakwambia mkuu taja basi wahusika si wanapitaga humu unaweza kuwasaidia jambo ambalo labda walikuwa hawalijui au kama walikuwa wanawaficha wajue wananchi tunajua....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.