Recent content by mti wa bib

  1. mti wa bib

    Ajira isikufanye kuwa Mtumwa...

    Oooy ni matunda ya kuanza mwaka mpya,asante sana na mim naongezea kuwa mwil ni wa thaman sana kuliko ajr yako ya utumwa Sent using Jamii Forums mobile app
  2. mti wa bib

    Zitto aliwezaje kusoma vitabu 48 na hapo hapo kukesha twitter?

    Mwanasiasa na siasa zake Sent using Jamii Forums mobile app
  3. mti wa bib

    Swali ndugu zangu

    Ligi yetu ya kibongokibongo sio muda awamu ya kwanza inaenda kumalizika soon lkn mpaka SAS TFF hawajamupata mdhamini wa ligi.je hali ikiendelea mpaka mwisho bingwa atalipwa hela na TFF?
  4. mti wa bib

    Mahakamani Kesi ya Lukuvi vs Kesi ya Mbowe

    Acha ubwege ww
  5. mti wa bib

    Naomba Notes Za Advance

    Kanunue tini LA ngaiza kwa upande wa chemistry
  6. mti wa bib

    Rais Magufuli, please don't bow down kwa hawa mabeberu wa US na EU, waeleze Tanzania ni nchi, a sovereign state

    Hukuna kurud nyuma hata kdg hawa us na EU wasijione kuwa wanajua sana hata sis tunaweza sana,wameihalibu Libya kwa wajinga wachache
  7. mti wa bib

    Hakika mungu yupo upande wetu.

    Kwa kwel nkana lazima watoke tu hakuna jinsi japo nimeona wanajipa moyo kuwa hatakuja kutufanya kaz dar esalam.Nkana Leo wamepoteza nafas nyingi za kutufunga na leo timu ya simba wamecheza Mpira kwa kutetemeka sana lkn cha kushangaza nkana wanapata mabao mawili .nkana siwafichi nawambia ukwel...
  8. mti wa bib

    Tunawatangazia tuition wazazi na walezi. Mlete mwanao St Peter Education Centre

    Habar wanajf. Tunawatangazia tuition wazazi na walezi mlete mwanao st peter education centre ambao IPo bunju A usalama barabara ya kuelekea kanisa ya efhata ministry Masoma yanayofundisha kwenye likio hii Mathematics, physics, chemistry, bioligy and English language. Na kwa wazazi wanaotaka...
  9. mti wa bib

    Kichwa cha mwendawazimu kwenye ubora wake

    Bila shaka mkuu
  10. mti wa bib

    Kichwa cha mwendawazimu kwenye ubora wake

    IPO Siku moja we still progressive.
  11. mti wa bib

    Kichwa cha mwendawazimu kwenye ubora wake

    Unapotaka kuanzisha kitu chochote lazima kwanza uingie hasara kwanza baadaye ndio kuna faida,walioenda kushiliki wameenda km kujifunza nielewe
  12. mti wa bib

    Kichwa cha mwendawazimu kwenye ubora wake

    Wabongo acheni ujinga wa kulalamika kila Wakt,ivi hata elimu yetu ya darasa la saba haiwakwamui hata kidg maana kila Siku nyie ndio mnapga kelele.timu imeenda kushiliki kwa niaba,,hakukuwa na maadaliz yoyote na ulikuwa ni ghafula sana kwahy wameenda kupata experience kdg ili wajipange kwa...
  13. mti wa bib

    Hivi mnamchukia Magufuli kiukweli??

    Watu ambao hawana profile ya kuwa rais Tanzania ni pamoja na membe
Back
Top Bottom