mti wa bib
Senior Member
- Oct 4, 2018
- 138
- 120
Ligi yetu ya kibongokibongo sio muda awamu ya kwanza inaenda kumalizika soon lkn mpaka SAS TFF hawajamupata mdhamini wa ligi.je hali ikiendelea mpaka mwisho bingwa atalipwa hela na TFF?
Kwa swali lako jibu ni ndiyoLigi yetu ya kibongokibongo sio muda awamu ya kwanza inaenda kumalizika soon lkn mpaka SAS TFF hawajamupata mdhamini wa ligi.je hali ikiendelea mpaka mwisho bingwa atalipwa hela na TFF?
Acha kwanza Yanga tuchukue Ubingwa,nyie Mikia endeleeni kuulizia zawadi za Bingwa then mje mtukabidhi.Ligi yetu ya kibongokibongo sio muda awamu ya kwanza inaenda kumalizika soon lkn mpaka SAS TFF hawajamupata mdhamini wa ligi.je hali ikiendelea mpaka mwisho bingwa atalipwa hela na TFF?