Eti kocha Pawasa jamani lini pawasa kafundisha soka halafu kwa maandalizi yale
Eti kocha Pawasa jamani lini pawasa kafundisha soka halafu kwa maandalizi yale
Hapa simba tu ndio mwakilishi alie jitahidi hadi sasa pamoja na mtibwa sukari.
Kuna mmoja nilisoma naye Chuo, hajui mpira wala nini sema ni mtu wa kujipendekeza sana, Leo hii eti ni mchezaji wa ufukweniHahahaha, halafu wachezaji wa hii timu si akina kaseja au?
Kuna mmoja nilisoma naye Chuo, hajui mpira wala nini sema ni mtu wa kujipendekeza sana, Leo hii eti ni mchezaji wa ufukweni
Yaani hapa kwetu kila kitu ni kujuana tu......wacha tupigwe tuuHahahaha, huyo kapewa fursa tu
Hahahaha, halafu hii timu kocha aliwahi kuwa John mwansasu walishamtoa? Nimeona akina juma kaseja,yahya tumbo nao wameitwaYaani hapa kwetu kila kitu ni kujuana tu......wacha tupigwe tuu
Duh! Nani huyo tena. Maana mimi nawamanya hawa. Bt wamecheza vizuri tu kwa walioangalia game. Sema ndio matokeoKuna mmoja nilisoma naye Chuo, hajui mpira wala nini sema ni mtu wa kujipendekeza sana, Leo hii eti ni mchezaji wa ufukweni
Hakuna ligi mkuu, ni wewe tu kua na idea ya soka + kupeana fursa ,basis kikosi kinakua tiyariHahahaha, halafu hii timu kocha aliwahi kuwa John mwansasu walishamtoa? Nimeona akina juma kaseja,yahya tumbo nao wameitwa
Hivi huwa kuna ligi ya hizi mechi za ufukweni kupata hao wachezaji?
Alfa TandiseDuh! Nani huyo tena. Maana mimi nawamanya hawa. Bt wamecheza vizuri tu kwa walioangalia game. Sema ndio matokeo
Hakuna ligi mkuu, ni wewe tu kua na idea ya soka + kupeana fursa ,basis kikosi kinakua tiyari