Sidhani kama kuna possibility hyo maana majina ya watakaoajiriwa mwisho wa siku ni lzm yawasilishwe "Utumishi" for records and all necessary documentations...kwa mantiki hyo ni lzm Utumishi wata-refer kwenye database yao kuangalia majina waliyoletewa kama yana-match na waliyonayo kwa...
Kwenye hili naweza kukubaliana na wewe kwa 99%...maana kuna interview za TRC zilifanyika since Dec.2018 za level ya Manager's mpk leo hakuna tangazo lolote lililotolewa la kuitwa kazini.
Hizo kada za juu zimeshajazwa na PSRS-Utumishi kwa watu waliokuwa nao kwenye data base yao...rejea tangazo lao la jana la kuitwa kazini kwenye website yao...zimebaki hizo za mgambo tu....😂😂
wadau mwenye kujua jinsi ya kupata Album za hawa vijana wa M-Lab,(Stereo,One,mix tape ya Duke,Songa na Nash Mc) anaisaidie tafadhali..coz hwa jamaa huwa nawakubali kinyama yani..!!!
kinachonitatiza ni hizi media both TV na Radio kuwa na program zinazofanana in 24 hrs..sasa sijui program manager wao ni mmoja?au ni kuigana kusiko na tija?..au ni vilaza?yaani kuna vipindi vingine mtu mpaka unazima radio jinsi vinavyoboa kusikiliza...coz havielimishi wala haviburudishi chochote...
huyu dogo mchonga nyusi hata kuficha uhusika wake humu JF hawezi..ona sasa leo amejianika hadharani na kila mtu ameng'amua kuwa Bigman ni Millard Ayo kisa ni kutetea huo uzi wake na hako kaji-link uchwara...lkn haya ndio matokeo ya vyuo vya uandishi wa habari vilivyojazana pale Ilala Bungoni na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.