Malunkwi
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 339
- 79
Hiva majuzi kulikuwa na kipindi kilichorushwa katika ktuo cha televisheni cha Clouds kilichohusu Ukweli kuhusu Freemasons, kwa kifupi wageni waalikwa ktk kipindi kile hakuna chochote walichofafanua wakaeleweka zaidi ya kububuja maneno tu na inavyoonekana ni kama waganga wa kienyeji wamekwenda kujitangazia soko,
Jana kituo cha EATV nacho kilirusha hewani kipindi kinachohusiana na mambo hayohayo kadhalika yule Mganga wa jadi anayejiita Profesa sikuona alichofafanua hadi mtu akaelewa haswa Freemason ni nini zaidi ya kueleza habari zake za majini na kwenda kuzimu.
my take: Media kuweni makini mnapowaita wageni kutoa ufafanuzi wa mambo yenye utata katika Jamii
Jana kituo cha EATV nacho kilirusha hewani kipindi kinachohusiana na mambo hayohayo kadhalika yule Mganga wa jadi anayejiita Profesa sikuona alichofafanua hadi mtu akaelewa haswa Freemason ni nini zaidi ya kueleza habari zake za majini na kwenda kuzimu.
my take: Media kuweni makini mnapowaita wageni kutoa ufafanuzi wa mambo yenye utata katika Jamii