Recent content by mteule senior

  1. M

    Rais TEC atangaza maombi ya kufunga kuombea haki na amani katika uchaguzi mkuu

    Ni jambo jema kuiombea nchi yetu.👏👏👏
  2. M

    Utamkumbuka Kassim Majaliwa kwa jambo lipi?

    Kwa upande wangu nitamkumbuka sana kwa uongozi wake wa uadilifu mkubwa , kusimamia miradi vizuri na miundombinu kwa kushirikiana na viongozi wengineo hivyo kuleta maendeleo makubwa nchini. Pia mchango ktk nyanja ya michezo, mwaka fulani timu ya Jimbo lake (Namungo Fc) ilicheza mpaka level ya...
  3. M

    Utamkumbuka Kassim Majaliwa kwa jambo lipi?

    Kwa hili halikuwa sawa kiutumishi. But lilishakuwa addressed
  4. M

    Tujikumbushe Songea Boys {Box 2}

    Kulikuwa na mboga za majani na zingine za kupima katika kijiko zinauzwa na wana ulokoni.Aisee zilitu save sana siku za maharage yani tulikuwa tunamix na maharage siku zinasonga.Ofcourse ni maisha flani ya kukumbuka sana
  5. M

    Tujikumbushe Songea Boys {Box 2}

    Maji ya shadufu matamu sana kaka mwendo wa kupampu tu..., siku hizi dogo hawakutani na shida hizo za umeme na zingine
  6. M

    Kwanini Wanafunzi Wanaosoma Shule za Masista Wanawaona Masista Kama Makatili Sana Wasiofaa

    Mkuu ,mfano kwa level ya chuo I think ukisomea udaktari mifugo nguruwe na mifugo wengne utawasoma na practical zake utafanya regardless wewe ni wa upande upi ...I dnt know abt secondary,,Walosoma mifugo wachangie kwa maelezo zaidi na kutupa experience
  7. M

    Watakatifu ni wazungu waliokufa zamani. Waafrika waliokufa zamani eti ni mizimu

    Hapana kwani hakuna kilicho juu ya Mungu...lakini sipendi mtu aingie huko sio kuzuri
  8. M

    Ukweli kuhusu Wakatoliki kutokuabudu sanamu zilizopo makanisani

    Usijali kaka...Sisi sote ni wakristo hakuna dhehebu lililo kamilifu kuliko jingine....Ni katika kuhoji na kukosoana kwa nia ya kujengana katika ukristo wetu...Tuwe na umoja (unum omnes) Aliye Mkamilifu ni Mungu pekee...Nasi sote tukaunganishwa kwa kuitwa Wakristo....hakuna aliye wa Paulo au...
  9. M

    Watakatifu ni wazungu waliokufa zamani. Waafrika waliokufa zamani eti ni mizimu

    achana na hayo mambo kufkiri kuhusu mizimu usiyaguse mzee
  10. M

    Ukweli kuhusu Wakatoliki kutokuabudu sanamu zilizopo makanisani

    Mwenye kuelewa atuelezee pamoja na kuomba saints/watakatifu
  11. M

    Ukweli kuhusu Wakatoliki kutokuabudu sanamu zilizopo makanisani

    Of course ni kanisa ambalo liko very organized ktk mambo mengi na kimafanikio kielimu ,kwa huduma za kujitolea ktk jamii kama kusaidia yatima na wenye kuhitaji bila ubaguzi wowote , kuweka balance ktk imani na elimu dunia ...ratiba za sala za masifu mara kadhaa kwa siku,,liturujia,hayo ni...
  12. M

    Top 10 Best secondary schools of all time in Tanzania

    Hebu mkuu tusaidie mbinu Gani walikuwa wanazitumia kuwawezesha hao wenye ufaulu mdogo kufanya vizuri sana....Lakini Usitaje jina la mtu aliyefeli hapo mwishon si vizuri kk
  13. M

    Waseminari wote tukutane hapa

    Sema ktk elimu seminary zipo vizuri sana wakuu...Kanda ya kusini ktk mitihani seminaries were topping the list... Consolata Seminary,Don Bosco ,Mafinga Seminary ,Kilocha and others
  14. M

    Waseminari wote tukutane hapa

    Sisi wengine hTU
  15. M

    Wanaume waliosoma seminari

    Mimi sijasoma seminary but nilisoma Bible knowledge O level na Divinity advanced level..Nikajifunza mengi kuna muda nili interact nao ...kwa kweli ni wengi ni vijana wenye tabia njema,, hata ikitokea kuanguka ni rahisi sana kwa waseminarist kumtafuta Mungu na kujirudi maana msingi upo
Back
Top Bottom