Ni kawaida ya mkoa wa Morogoro kukatika kwa umeme mara kwa mara tena bila ya taarifa, hivi hamuoni kua mnatutia hasara maana kila cku mnaunguza vitu vyetu,kiukweli mumeoza na inakera hasa maeneo ya Mjini na mitaa yake! Uthibitisho leo umekatika mara tatu
mm nadhani ni wakt wa zanzibar kuitisha kura ya maoni na kuamua kwani KOTI LIKIKUBANA LIVUE,na Kesi hakusoma kwani kuna nchi inaitwa NAURU ni ndogo lakn inakiti cha kudumu ktk UN km tz NI BORA TULIVUE TU,wakati wa muungano TANGANYIKA ilichukua pesa toka znz zipo wapi? hela za pay as one,ushuru...
Ni siku ya tatu tokea wakaazi wa misufini kata ya MAFIGA wilayani Morogoro kuona nishati ya umeme,hivi ingekua KWAMABOSI wangefanya hivi tena basi hata taarifa hakuna nanukuu maneno ya MPOTO "Kukumbatia maji kama jiwe ni UJINGA" TAFAKARI KISHA CHUKUA HATUA
Ni kweli kabisa ila no longer it is! LAKINI kuna taasisi km mahakama,polisi,uhamiaji,magereza wote hawa nao wanaingizia serikali sasa je? Mbn wanalipwa mishahara midogo na ndio chanzo cha rushwa haishi kwao,
Msaada wa kujiuliza ni nini? Hatima ya viongozi wa kenya waliofikishwa katika MAHAKAMA ya UHALIFU WA KIVITA endapo watapatikana na hatia ? kwa mujibu wa sheria gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.