Nilichoamua baada ya kuona mabank yananinyanyasa Sana kiuchumi niliamua kujiunga na SACCOS na sijawah kujuta mpaka
Loan interest 10.2 per annum
Kwa mwaka unakula 100k kwenye mkutano mkuu then tunae
Dharula loan interest 7.5 per year hii inae limit up to 4ml
So vijana jiungeni tu na SACCOS...
Hata mabank nayo ni kichefu chefu ukikopa 10m for 5 years just utalipa around 20-22ml
Nahiyo 10m hupew yote hapo watakata
Bima ya mkopo and
Processing fees
Utaingiziwa around 9.1m Kwa account Yako and
You will need to pay the amount I mentioned above
Mm niliivaaan na mwanamke fulan back in time na ndoa tukafunga
Alinisumbua Bado nusu nijinyonge
But nkajikaza nkapiga moyo konde nkaamua kutalikiana nae
Wengine wapo
Akampata mwanamke mwingine anae adabu balaa nashukur mung now na kitambi kinatoka
Yes,I made a mistakes just because life comes...
Ili uweze kuwa mshaur mzur lazima ww mwenywe kile unachokishaur uwe umesha kifanya au unakiishi
Mkuu ulishawah kufanya biashara yeyote?
Tuanzie hapo kwanza
Akili ni kile kinachobakia baada ya kumaliza shule
Wasomi wengi hawana akili za kufanya maamuzi Kwa maslahi ya uma
Ngoja muswada uletwe bungeni na Jao wabunge wawe wanapewa mafao Yao 33% then iliyobaki wawe wanapewa kidog kidogo
Tuliosoma bagamoyo (magambani) from 2008-.............
Kunya baharini along side the beach ilikuwa very easy no matter what,mkono wako unachimba shimo kidogo inakata gogo unafukia then you go
But nliacha kunya beach ..... guess what
Siku nlipochimba shimo na mkono then nkakutana na mav...
Tuliosoma bagamoyo (magambani) from 2008-.............
Kunya baharini along side the beach ilikuwa very easy no matter what,mkono wako unachimba shimo kidogo inakata gogo unafukia then you go
But nliacha kunya beach ..... guess what
Siku nlipochimba shimo na mkono then nkakutana na mav...
Mm nliona kunguuni for the first time 2010 nkiwa field huko upareni aisee asiambie mtu kunguuni Wana ng'ata mbaya
Na nlivyo mweupe mpaka Field inaisha nlikuwa naitwa black albino 😁😁😁😁
Mm nimekaa kigoma almost 6 yrs Wilaya ya buhingwe manyovu border
Ww tuliza mshono mdogo wangu hizo 15ml amekukopeaha nan?
Salary yenywe haifiki hata 600k ww
Ww akili Yako Bado ndogo Sana kutokana na utoto na umri wa kazi Na hujui kazi za serekali zinavyoenda
Tafuta mtoto mzuri wa kiha uwe...
EU countries zote zina mfumo mmoja wa elimu unaitwa bologna agreement
Kama hawahitaji IELTS basi watakulazisha usome Kwa lugha Yao wether it's a Polish or Danish etc
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.