Mimi naona ni kweli kasi ya ukuaji wa uchumi imepungua lakini sio kwa sababu ZOTE hasi. Kuna namna hawa wazungu wametutega kiasi kwamba tukichukua hatua chanya kufanya mambo yetu wenyewe kwa faida yetu kuna matokeo HASI yanatokea na wanatumia nafasi hiyo kutuvuruga. Bahati mbaya sana wachumia...
Mi nadhani ili kujikwamua na kuacha legacy kwa kizazi chako ni kujitoa, kuachana na anasa hata kama una uwezo nazo lakn acha uelekeze nguvu kwny kazi. Mi naona hapa ndo watu wengi tunafeli, mtu yupo radhi akope deni atakalolilipa kwa miaka mitano wakati anaanza kazi ili tu apange ghorofani na...
Chalii kwa huu utaratibu wako hata mshahara wa milioni 2 utakuwa haukutani hahahahah!! Mi nadhani cha msingi hesabu zifanyike kwa mwezi tu. Uuze duka na ujitahidi kuishi kulingana na faida yako ya mwisho wa mwezi na hapo ni busara mtu ukaliendesha duka angalau miezi 6 ya mwanzo bila kutegemea...
Nimekuelewa mkubwa, nimeipata point yako na ninajua umuhimu wa hizo info zote na ndo maana nimeweka email just in case mtu atakuwa interested anaweza kupata hizo taarifa zingine zote!! sidhani kama mtu unaweza kuproceed na business bila kupata na kujiridhisha na taarifa zote ila pia sio taarifa...
Mambo vipi wadau, mimi ni mtanzania kwa sasa nipo nchini Japan kimasomo. Nikiwa Japan nimepata nafasi kufanya kazi muda wangu wa ziada kwenye kampuni inayouza magari yaliotumika na vifaa vya magari. Mmiliki wa kampuni anatafuta wateja na washirika wa biashara Tanzania. BEI NI NZURI SANA.
nicheck...
Mambo vipi wadau, mimi ni mtanzania kwa sasa nipo nchini Japan kimasomo. Nikiwa Japan nimepata nafasi kufanya kazi muda wangu wa ziada kwenye kampuni inayouza magari yaliotumika na vifaa vya magari. Mmiliki wa kampuni anatafuta wateja na washirika wa biashara Tanzania. BEI NI NZURI SANA.
nicheck...
umesahau sababu moja, kwa sababu wewe mwenye akili hujataka kufanya basi ndo maana wajinga wanafanya! Hii ni true sehemu nyingi sana vilaza wamekaa kwenye position ila wajanja kwa kukosa kuthubutu wamekaa kulaumu na kuzogoa tu otherwise kama wote tuna akili sawa, yani tunaona makosa ya wengine...
Mi nadhani watanzania tuache ushabikiaji na mikumbo, nadhani ni wazi hata tukianza leo kushughulikia mambo ya afya tu hatutafika maana magonjwa yanaibuka kila siku na ubaya wa hii ni kwamba sisi ni wanunuzi na watumiaji tu kwahiyo ni muda wote kutoa fedha je unadhani fedha haziwezi kuisha? ni...
kuna mambo hapa duniani, kwenye paper mtu ngoma inasimama na unapizi duu!! kudadeki mi nachoona mwana jitahid upate mtoto uwe unapiga kila siku utupe mrejesho.
Inaezekana pia ikawa ni ile system ya upigaji madili iliyozaliwa awamu ya tatu na kujikita zaidi awamu ya nne, mimi ninavojua kila mtanzania anafahamu jinsi ambavyo watu walivokuwa wanapiga madili kuanzia richmond, escrow na mengine zikiwemo biashara za madawa ya kulevya na ujangili. haya yote...
Dogo alionywa sana haya mambo ya vita ya madawa ya kulevya achana nayo...... watemi wenyewe kila walipoichungulia list walitoka nduki na wale wenzake na yeye walioleta kimbelembele ndo akina marehemu Hon. Amina Chifupa, hapo wababe wamemkaba na akitoswa tu ukuu wa mkoa = less ulinzi = easy to...
afu wanamsimamia kidete mtu aliewambia wanasinzia kitu ambacho pia kina ukweli ndani yake clip kibao zinaonyesha hivo """kamati ya maadili isimamie kwanza hawa wabunge wajiheshimu afu raia na watu wengine nje ya bunge watawaheshimu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.