Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,283
- 33,889
Umeshasahau hata ulicoandika mwanzoni hadi tukaingia kwenye mnakasha huu?Kwahiyo akishasema?
Umeshasahau hata ulicoandika mwanzoni hadi tukaingia kwenye mnakasha huu?Kwahiyo akishasema?
Ukiona shingo inazunguka ujue kuna BEGA limeishikiriaLazima kuna kinachompa kiburi huyu bashite. Kwanza kwa kumkwida Warioba kipindi kile ingekuwa mimi au wewe hatua kali zingeshachukuliwa. Lakini watu husema "ngoma ikivuma sana ujue ikaribu kupasuka". Soon or later people will take matters on their hands.
kinyago kimemdhuru hadi riz1 bila kujali baba riz ndo alimpa ukuuBashite ni kinyago ambacho CCM mmekichonga wenyewe leo kinawatisha na amefika hatua ya kuvamia, kuteka, kutesa na kuua yoyote aliye kinyume na maslahi yake na ya Mwenyekiti wa CCM.
hakikaBora usije DSM, gari lako la thamani litasalimika!
paragraph ya mwisho umenena sahihi kabisaDaudi Malanja alimpigia simu Ester Bulaya akamwambia tutawashughulikia mbunge mmoja baada ya mmoja sasa ``UKIONA MBUNGE WA CCM ANALALAMIKA JUA SASA KIAMA KIMEKARIBIA SASA WATAANZA KUSHUGHULIKIWA SOON MTASIKIA MBUNGE ATOWEKA``
Daudi namfananisha na mtt ambaye akisikia siri za wazazi wake wanapoongea nyumbani anaenda kusema au kuwaringishia watt wa jirani hakika prince D.A.B ni hatari sana ktk nchi
Muda utafika subiri tujaribu
Kwahiyo akishasema?"Public" ni hadhara na hadhara huanza na watu kuanzia watatu na mambo yake hufanyika hadharani! Mijadala inayofanyika bungeni huwa inafanyika hadharani na mtu anayesemea pale mambo yake huwa anayasemea hadharani!
Umeshasahau hata ulicoandika mwanzoni hadi tukaingia kwenye mnakasha huu?
Pahala sahihi pa kusema si Bungeni.Umeshasahau hata ulicoandika mwanzoni hadi tukaingia kwenye mnakasha huu?
Hukumteua wewe,aliyemteua ili amsaidie kazi hakukuliza wewe.CHAPA KAZI NA YEYE MWACHE ACHAPE KAZI ALIYOPEWA NA MKULU.Huyu mtu kamake headline kibao lakini hagusiki.
Mimi Leo nilikuwa sitaki kusema, lakini ngoja tu niseme, nimetishwa na mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, aliniambia nyie wabunge ni wanafiki na nitawashughulikia na nitaanza na wewe, mimi leo Dar naiogopa.
Niko tayari kuhojiwa hapa nimelisema hapa kwa usalama wangu. Alinitisha mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni pale Colosseum Hotel.